Badala ya kupambana na mfumo, tunapambana na mazao ya mfumo.Ila zaidi sisi wa bongo tuko corrupt zaidi, ni wanafiki sana ndio maana watu wa aina ya Makonda bado wapo tu.
Tunaonyesha chuki zetu kwa Makonda aliyekuwa RC tu, hatufanyi hivyo kwa wengine wengi waliokuwa na nafasi kunwa zaidi yake.
Kindly be firm on issues stop you kizimkazi behaviors.Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.Kindly be firm on issues stop you kizimkazi behaviors.
FOH with that bull jive.Usingeijuwa kompyuta ni nini bila Algorithm. Na huyu ndiye Algorithm mwenyewe:
Algorithms, Algebra & Astronomy: Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi
Ever wondered who paved the way for the age of algorithms?
It was a 9th-century Muslim genius, mathematician, geographer & astronomer, Abu Abdallah Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi - also known as the Father of Algebra.
Even the term algorithm is Al-Khwarizmi translated into Latin! The scientist and mathematician Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi lived from 780 to 850 AD in Persia and Iraq.
Soma zaidi: Algorithms, Algebra & Astronomy: Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi
Waovu wakubwa walikuwa Magufuli, Makonda, Sabaya nk. Hao wengine walikuwa na kipimo, au walitembelea nyota za waovu hawa wakuu enzi za utawala wa dhalimu magu.Ila zaidi sisi wa bongo tuko corrupt zaidi, ni wanafiki sana ndio maana watu wa aina ya Makonda bado wapo tu.
Tunaonyesha chuki zetu kwa Makonda aliyekuwa RC tu, hatufanyi hivyo kwa wengine wengi waliokuwa na nafasi kubwa zaidi yake.
😆😆😆😆tabia za makonda na alibert Msando ndio reflection ya chama na system nzima ya chamaSeriously, CCM is morally and ethically bankrupt!
Why? Recycling the same old depraved characters from the archives!
Proof? Albert Msando, Paul Makonda, etc,.
Akili zimemrudiNyani ngabu kwenye ubora wake [emoji1]
Ova
Ndio maana kinasemwa mfumo na makonda ni sehemu ya mfumoBadala ya kupambana na mfumo, tunapambana na mazao ya mfumo.
Ata tukimsema Makonda mpaka kiama,maisha ya Watanzania yataendelea kule vilevile na wakina Makonda watazidi kuzalishwa na mfumo.
Kinachotakiwa ni kumkataa shetwani CCM na mambo yake yote kama Wakenya na Wazambia walivyozikataa KANU na UNIP!!
Duh na wewe ni mdini kaka?AI hakuna mvaa ushungi wala mwimba ‘takbir’ aliyeivumbua.
Hiyo ccm tumeshaikataa kwa njia halali ya kura, lakini tuna katiba isiyoruhusu chama kingine kuingia madarakani kwa njia hiyo halali. Au ww unataka tuwakatae kwa njia gani zaidi ya hiyo?Badala ya kupambana na mfumo, tunapambana na mazao ya mfumo.
Ata tukimsema Makonda mpaka kiama,maisha ya Watanzania yataendelea kule vilevile na wakina Makonda watazidi kuzalishwa na mfumo.
Kinachotakiwa ni kumkataa shetwani CCM na mambo yake yote kama Wakenya na Wazambia walivyozikataa KANU na UNIP!!
Kama alishindwa kipindi Cha dhalimu wakaishia kupora uchaguzi, kwa sasa atakuwa na jipya lipi, zaidi ya kuongea kwa kiburi Cha madaraka na kulindiwa uovu wake?Kiboko yenu atawanyoosha Makonda mkae kwa kutulia tu.
Kweli tupuSeriously, CCM is morally and ethically bankrupt!
Why? Recycling the same old depraved characters from the archives!
Proof? Albert Msando, Paul Makonda, etc,.
We kama nani? Huna cha kufanya huyo makonda wenu tutamshambuila hadi akimbie nchiAhsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.We kama nani? Huna cha kufanya huyo makonda wenu tutamshambuila hadi akimbie nchi
Vipi mmeshapata mafuta?Kama alishindwa kipindi Cha dhalimu wakaishia kupora uchaguzi, kwa sasa atakuwa na jipya lipi, zaidi ya kuongea kwa kiburi Cha madaraka na kulindiwa uovu wake?