BASHITE SASA AJIITA MALIYAMUNGU

BASHITE SASA AJIITA MALIYAMUNGU

YASEMEKANA BASHITE NOW NAWALAZIMISHA WATU WAMUITE MALIYAMUNGU BAADA YA UTENDAJI KAZI ULIOTUKUKA NA SIFA KIBAO KUTOKA NJE NA NDANI YA MIPAKA YETU.

IKUMBUKWE JINA HILO KALIRITHI KUTOKA KWA ALIYEKUWA MFANYAKAZI MTIIIFU WA RAISI IDD AMIN DADA, ALIESIFIKA KWA KUFUATA MAELEZO KWA UMAKINI SANA BILA MAKOSA

BASHITE AKA MALIYAMUNGU

UBARIKIWE
....Hivi hizi saluti zinapigwa katika mazingira gani?
 
Hizo ni sera2 za wa2 lkn ukweli utabaki palepale2 make kila m2 anasema lake2 huyu hiv na yule vile duuuuu hiyo kali xan mkuuu
 
YASEMEKANA BASHITE NOW NAWALAZIMISHA WATU WAMUITE MALIYAMUNGU BAADA YA UTENDAJI KAZI ULIOTUKUKA NA SIFA KIBAO KUTOKA NJE NA NDANI YA MIPAKA YETU.

IKUMBUKWE JINA HILO KALIRITHI KUTOKA KWA ALIYEKUWA MFANYAKAZI MTIIIFU WA RAISI IDD AMIN DADA, ALIESIFIKA KWA KUFUATA MAELEZO KWA UMAKINI SANA BILA MAKOSA

BASHITE AKA MALIYAMUNGU

UBARIKIWE
Isaac Maliyamungu alikuwa katili wa kutisha akiwa mwandani wa Idd Amin. Alikuwa katili ambaye hata Idd Amin alifika mahali akasema nadhani huyu ni kichaa. Maliyamungu alimuua mayor wa Masaka kwa kumkata sehemu za siri mbele ya watu na kumchopoa vipande vipande mbele za watu mpaka akafa. Ndiye huyu tunaye anakoelekea
 
maliyamungu alikuwa muuaji katili sana !!
 
Back
Top Bottom