Pre GE2025 Bashungwa akiwa kilabuni na baadhi ya wananchi jimboni kwake wakimpigia chapuo Rais Samia pamoja na yeye kuchaguliwa tena 2025

Pre GE2025 Bashungwa akiwa kilabuni na baadhi ya wananchi jimboni kwake wakimpigia chapuo Rais Samia pamoja na yeye kuchaguliwa tena 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naamini The state imejipanga sana kuelekea 2025,CC ya CCM itakata Majina yote ya walioambatana hadi Dubai baada ya ule mkataba-ninahisi hiyo kitu!!!
Baada ya mama atakuja Baba na huyo Baba my God atakua more than jpm!!!

Magamba matatu -namheshimu sana kwenye nyuzi zake!!
Mkuu, imebidi tu nikupe 'like' kwenye bandiko lako hili, lakini uhalisia wake haupo.

Unamzungumzia nani ndani ya CC ya CCM. Hivi unawajuwa waliomo kwenye hiyo CC?
Halmashauri Kuu ya Chama unajuwa imejaa watu gani?

Sema hivi nikuelewe: Samia mwenyewe aamue kuepuka aibu, akiona chama na vyombo vyake vyote serikalini visiwe tayari kumrudisha kwa nguvu, kwa kuvuruga uchaguzi.

Tanzania hii hatapatikana tena atakayekuwa zaidi ya Magufuli katika maswala mabovu kama yale yaliyomuondolea sifa hata katika mambo mazuri aliyokuwa akitenda.

Baada ya kuyasema hayo, nimalize kwa kuungana nawe kuomba apatikane kiongozi asiyevumilia upumbavu katika maswala ya kuendesha nchi hii. Huyo nami nitamuunga mkono.
 
Kuna mmkoja amegalagala huko geita hadi naskia eti akakaa vibaya...🤣
 
Wakuu na nyuki wa mama,

Kweli tutaona mengi kabla ya uchaguzi 2025. Mkiwa mnawapa script hawa hata mfanye kuedit basi ili ziendane nao. Wananchi wanaongea unaona kabisa kasukua huyoo anatapika!

Mngekuwa mnafanya kazi kweli na kuwajibika wala msingekuwa mnatumia nguvu kiasi hiki. Wananchi wenyewe tungewachagua kwa mapenzi yetu sbabu ytunaona kweli mnatetea maslahi ya umma.

Lakini mmejaa rushwa, udharifu, uonevu na ukali, afu mnategemea tuwachague, thubutu!

---


Ndugu Bashungwa kwenye one and two akihakikisha anashiba vizuri ili akapige picha na wananchi choka mbaya wampigie chapuo apate kuchaguliwa tena 2025:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:
====

Pia soma:

Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kumbe na karagwe kuna takataka kam hizi
 
Wakuu na nyuki wa mama,

Kweli tutaona mengi kabla ya uchaguzi 2025. Mkiwa mnawapa script hawa hata mfanye kuedit basi ili ziendane nao. Wananchi wanaongea unaona kabisa kasukua huyoo anatapika!

Mngekuwa mnafanya kazi kweli na kuwajibika wala msingekuwa mnatumia nguvu kiasi hiki. Wananchi wenyewe tungewachagua kwa mapenzi yetu sbabu ytunaona kweli mnatetea maslahi ya umma.

Lakini mmejaa rushwa, udharifu, uonevu na ukali, afu mnategemea tuwachague, thubutu!

---


Ndugu Bashungwa kwenye one and two akihakikisha anashiba vizuri ili akapige picha na wananchi choka mbaya wampigie chapuo apate kuchaguliwa tena 2025:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:
====

Pia soma:

Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Jopo la wa Tutsi.
 
Wakuu na nyuki wa mama,

Kweli tutaona mengi kabla ya uchaguzi 2025. Mkiwa mnawapa script hawa hata mfanye kuedit basi ili ziendane nao. Wananchi wanaongea unaona kabisa kasukua huyoo anatapika!

Mngekuwa mnafanya kazi kweli na kuwajibika wala msingekuwa mnatumia nguvu kiasi hiki. Wananchi wenyewe tungewachagua kwa mapenzi yetu sbabu ytunaona kweli mnatetea maslahi ya umma.

Lakini mmejaa rushwa, udharifu, uonevu na ukali, afu mnategemea tuwachague, thubutu!

---


Ndugu Bashungwa kwenye one and two akihakikisha anashiba vizuri ili akapige picha na wananchi choka mbaya wampigie chapuo apate kuchaguliwa tena 2025:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:
====

Pia soma:

Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kwenye clip hiyoya walevi, sijamuona hapo Bashungwa ila nimesikia akitajwa.
 
Kila nikimuangalia Bashungwa naona kama si Mrundi ni Mnyarwanda.
 
Tutapitisha Sheria kwamba ni lazima mbunge kushinda Jimboni kwake akishiriki KAZI za maendeleo,hatoruhusiwa kuzurura zurura ovyo Ili kuepuka usanii kama huu na kukichafua chama eti tunafanya maigizo!
 
Back
Top Bottom