TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Huo ni mtaji wa wanasiasa wote tuMtaji wa chama tawala ni watu wa aina hiyo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni mtaji wa wanasiasa wote tuMtaji wa chama tawala ni watu wa aina hiyo .
Mkuu, imebidi tu nikupe 'like' kwenye bandiko lako hili, lakini uhalisia wake haupo.Naamini The state imejipanga sana kuelekea 2025,CC ya CCM itakata Majina yote ya walioambatana hadi Dubai baada ya ule mkataba-ninahisi hiyo kitu!!!
Baada ya mama atakuja Baba na huyo Baba my God atakua more than jpm!!!
Magamba matatu -namheshimu sana kwenye nyuzi zake!!
Chinembe wewe ni wa wapi?? Unakajua Karandarugo??Aka-supa, a.ka. mbandule, omurushaka
Kumbe na karagwe kuna takataka kam hiziWakuu na nyuki wa mama,
Kweli tutaona mengi kabla ya uchaguzi 2025. Mkiwa mnawapa script hawa hata mfanye kuedit basi ili ziendane nao. Wananchi wanaongea unaona kabisa kasukua huyoo anatapika!
Mngekuwa mnafanya kazi kweli na kuwajibika wala msingekuwa mnatumia nguvu kiasi hiki. Wananchi wenyewe tungewachagua kwa mapenzi yetu sbabu ytunaona kweli mnatetea maslahi ya umma.
Lakini mmejaa rushwa, udharifu, uonevu na ukali, afu mnategemea tuwachague, thubutu!
---
Ndugu Bashungwa kwenye one and two akihakikisha anashiba vizuri ili akapige picha na wananchi choka mbaya wampigie chapuo apate kuchaguliwa tena 2025
====
Pia soma:
Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hahaha, nimefagia karagwe,misenyi, kyerwa, ngara, biharamulo, chato, muleba, bukoba Dc, mpaka bumbireChinembe wewe ni wa wapi?? Unakajua Karandarugo??
Jopo la wa Tutsi.Wakuu na nyuki wa mama,
Kweli tutaona mengi kabla ya uchaguzi 2025. Mkiwa mnawapa script hawa hata mfanye kuedit basi ili ziendane nao. Wananchi wanaongea unaona kabisa kasukua huyoo anatapika!
Mngekuwa mnafanya kazi kweli na kuwajibika wala msingekuwa mnatumia nguvu kiasi hiki. Wananchi wenyewe tungewachagua kwa mapenzi yetu sbabu ytunaona kweli mnatetea maslahi ya umma.
Lakini mmejaa rushwa, udharifu, uonevu na ukali, afu mnategemea tuwachague, thubutu!
---
Ndugu Bashungwa kwenye one and two akihakikisha anashiba vizuri ili akapige picha na wananchi choka mbaya wampigie chapuo apate kuchaguliwa tena 2025
====
Pia soma:
Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kwenye clip hiyoya walevi, sijamuona hapo Bashungwa ila nimesikia akitajwa.Wakuu na nyuki wa mama,
Kweli tutaona mengi kabla ya uchaguzi 2025. Mkiwa mnawapa script hawa hata mfanye kuedit basi ili ziendane nao. Wananchi wanaongea unaona kabisa kasukua huyoo anatapika!
Mngekuwa mnafanya kazi kweli na kuwajibika wala msingekuwa mnatumia nguvu kiasi hiki. Wananchi wenyewe tungewachagua kwa mapenzi yetu sbabu ytunaona kweli mnatetea maslahi ya umma.
Lakini mmejaa rushwa, udharifu, uonevu na ukali, afu mnategemea tuwachague, thubutu!
---
Ndugu Bashungwa kwenye one and two akihakikisha anashiba vizuri ili akapige picha na wananchi choka mbaya wampigie chapuo apate kuchaguliwa tena 2025
====
Pia soma:
Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
A.k.a Mbandule😁😁😆🤣🤣Akasupa, a.k.a mbandule