Bashungwa: Bandari ikiongeza mapato, Tozo zitaisha

Bashungwa: Bandari ikiongeza mapato, Tozo zitaisha

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa amesema Bandari ya Dar es salaam haiuzwi na wala haibinafshwi na kwamba maamuzi ya Serikali kuhusu DP World kuendesha Bandari hiyo ni mkakati wa kupanua wigo wa vyanzo vya mapato ili kuondoa usumbufu kwa Wananchi kwa kutozwa tozo nyingi ambazo zingetumika kutekeleza miradi mbalimbali.

“Lazima tupanue wigo wa vyanzo vya mapato ili tusiwe tunaenda kwa Mwananchi huyohuyo kila siku tunaongeza tozo, tozo, tozo lazima Serikali iwe bunifu kwa kuangalia vyanzo ambavyo vitakuwa rafiki kwa Mwananchi kwa maana havitomrudisha nyuma kwenye umasikini kwa kumtoza zaidi kile ambacho anakipata kama pato na riziki yake”

Bashungwa amesema hayo wakati wa mwendelezo wa ziara yake Jimbo la Karagwe ya kuongea na Wananchi na kukagua miradi ya maendeleo katika Kata za Chonyonyo, Chanika, Rugera na Kihanga.

“Tanzania tuna Bandari ambayo ufanisi wake ulikuwa mdogo katika uendeshaji, ndio maana Serikalk ikaamua kutafuta Mwekezaji ambaye ataongeza ufanisi ili tuweze kupata mapato zaidi ambayo yataenda kutoa huduma za kijamii kwa Watanzania”

Bashungwa amewatoa hofu Wananchi wa Mkoa Kagera kwa kueleza kuwa Bandari haiuzwi wala haibinafishwi bali Serikali inaleta Mwekezaji ambaye ataiendesha kwa makubaliano yatakayoongeza ufanisi kiutendaji “Tumepata Mwekezaji ambaye ni kama unamkodisha kwamba nakupa duka langu lakini masharti ya uendeshaji ni moja, mbili, tatu”

Millard
 
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa amesema Bandari ya Dar es salaam haiuzwi na wala haibinafshwi na kwamba maamuzi ya Serikali kuhusu DP World kuendesha Bandari hiyo ni mkakati wa kupanua wigo wa vyanzo vya mapato ili kuondoa usumbufu kwa Wananchi kwa kutozwa tozo nyingi ambazo zingetumika kutekeleza miradi mbalimbali.

“Lazima tupanue wigo wa vyanzo vya mapato ili tusiwe tunaenda kwa Mwananchi huyohuyo kila siku tunaongeza tozo, tozo, tozo lazima Serikali iwe bunifu kwa kuangalia vyanzo ambavyo vitakuwa rafiki kwa Mwananchi kwa maana havitomrudisha nyuma kwenye umasikini kwa kumtoza zaidi kile ambacho anakipata kama pato na riziki yake”

Bashungwa amesema hayo wakati wa mwendelezo wa ziara yake Jimbo la Karagwe ya kuongea na Wananchi na kukagua miradi ya maendeleo katika Kata za Chonyonyo, Chanika, Rugera na Kihanga.

“Tanzania tuna Bandari ambayo ufanisi wake ulikuwa mdogo katika uendeshaji, ndio maana Serikalk ikaamua kutafuta Mwekezaji ambaye ataongeza ufanisi ili tuweze kupata mapato zaidi ambayo yataenda kutoa huduma za kijamii kwa Watanzania”

Bashungwa amewatoa hofu Wananchi wa Mkoa Kagera kwa kueleza kuwa Bandari haiuzwi wala haibinafishwi bali Serikali inaleta Mwekezaji ambaye ataiendesha kwa makubaliano yatakayoongeza ufanisi kiutendaji “Tumepata Mwekezaji ambaye ni kama unamkodisha kwamba nakupa duka langu lakini masharti ya uendeshaji ni moja, mbili, tatu”

Millard
Muulize gesi ya Mtwara na Madini mbona hazijaondoa tozo?
 
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa amesema Bandari ya Dar es salaam haiuzwi na wala haibinafshwi na kwamba maamuzi ya Serikali kuhusu DP World kuendesha Bandari hiyo ni mkakati wa kupanua wigo wa vyanzo vya mapato ili kuondoa usumbufu kwa Wananchi kwa kutozwa tozo nyingi ambazo zingetumika kutekeleza miradi mbalimbali.

“Lazima tupanue wigo wa vyanzo vya mapato ili tusiwe tunaenda kwa Mwananchi huyohuyo kila siku tunaongeza tozo, tozo, tozo lazima Serikali iwe bunifu kwa kuangalia vyanzo ambavyo vitakuwa rafiki kwa Mwananchi kwa maana havitomrudisha nyuma kwenye umasikini kwa kumtoza zaidi kile ambacho anakipata kama pato na riziki yake”

Bashungwa amesema hayo wakati wa mwendelezo wa ziara yake Jimbo la Karagwe ya kuongea na Wananchi na kukagua miradi ya maendeleo katika Kata za Chonyonyo, Chanika, Rugera na Kihanga.

“Tanzania tuna Bandari ambayo ufanisi wake ulikuwa mdogo katika uendeshaji, ndio maana Serikalk ikaamua kutafuta Mwekezaji ambaye ataongeza ufanisi ili tuweze kupata mapato zaidi ambayo yataenda kutoa huduma za kijamii kwa Watanzania”

Bashungwa amewatoa hofu Wananchi wa Mkoa Kagera kwa kueleza kuwa Bandari haiuzwi wala haibinafishwi bali Serikali inaleta Mwekezaji ambaye ataiendesha kwa makubaliano yatakayoongeza ufanisi kiutendaji “Tumepata Mwekezaji ambaye ni kama unamkodisha kwamba nakupa duka langu lakini masharti ya uendeshaji ni moja, mbili, tatu”

Millard
Wala sitaki kusoma nae Bashungwa aache kutetea tumbo lake,ni bora angekaa kimya kutokana na unyeti wa wizara anayoongoza asitake kutufanya sisi watoto wadogo ambao hudanganywa kwa peremende, ni muhimu akarejea mikataba ya gesi asilia kwa walewale waliosema kuwepo kwa gesi nyingi ya asili huko Mtwara kutafanya bei ya umeme wa Tanesco kushuka, na pia itawezesha viwanda vingi kuwa na umeme wa uhakika na wa bei ya chini ambapo mlaji atanufaika kwa kupata huduma na mahitaji mengine kwa bei za bidhaa kupunguzwa, sote tu mashahidi hakuna cha gesi wala kupungua bei ya umeme wale ndugu zetu wa Mtwara waliishia kupata kibano tu kujifanya Mtwara wapendelewe leo hii wana Mtwara na Watz hawajanufaika lolote na hiyo gesi, vivyo hivyo wanaufaika wa DP World kuendesha bandari zetu watakuwa ni walewale wa gesi hata hizo aslimia sijui 35 zitaenda kwa wahuni walamba asali walewale. Tumewachoka bana!
 
Wenzake walipokuwa wakiongoza wizara nyeti walikiwa hawajigaragazi kwenye tope la siasa yeye naona katanguliza kichwa kwenye dimbwi la tope.
 
Bashungwa: Umeusoma mkataba wa DP world au unataka kuaibika huko Kagera????
Mwanangu ongelea yanayokuhusu achana na hilo bomu la DP world .
 
Porojo tu, kwa nini asiongeze waliopo.
Hawawezi waliopo ni watu wa deal yaani ilikuwa ni suala la muda tuu nshomile mwenzangu na genge lake watolewe pale waje watu wenye capacity.
 
Hii ni kubwa Kuliko.

Tumekamatwa kisawasawa!

I cry for you Tanganyika, I cry for you Tanzania, I cry for you Mama Afrika!
 
Huyu punguani kweli.hajui kuwa tozo zinatokana na uwezo mdogo wa viongozi waliopo?kwa maliasili tulizonazo hatukustahili kuwekewa tozo lukuki kama hizi
 
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa amesema Bandari ya Dar es salaam haiuzwi na wala haibinafshwi na kwamba maamuzi ya Serikali kuhusu DP World kuendesha Bandari hiyo ni mkakati wa kupanua wigo wa vyanzo vya mapato ili kuondoa usumbufu kwa Wananchi kwa kutozwa tozo nyingi ambazo zingetumika kutekeleza miradi mbalimbali.

“Lazima tupanue wigo wa vyanzo vya mapato ili tusiwe tunaenda kwa Mwananchi huyohuyo kila siku tunaongeza tozo, tozo, tozo lazima Serikali iwe bunifu kwa kuangalia vyanzo ambavyo vitakuwa rafiki kwa Mwananchi kwa maana havitomrudisha nyuma kwenye umasikini kwa kumtoza zaidi kile ambacho anakipata kama pato na riziki yake”

Bashungwa amesema hayo wakati wa mwendelezo wa ziara yake Jimbo la Karagwe ya kuongea na Wananchi na kukagua miradi ya maendeleo katika Kata za Chonyonyo, Chanika, Rugera na Kihanga.

“Tanzania tuna Bandari ambayo ufanisi wake ulikuwa mdogo katika uendeshaji, ndio maana Serikalk ikaamua kutafuta Mwekezaji ambaye ataongeza ufanisi ili tuweze kupata mapato zaidi ambayo yataenda kutoa huduma za kijamii kwa Watanzania”

Bashungwa amewatoa hofu Wananchi wa Mkoa Kagera kwa kueleza kuwa Bandari haiuzwi wala haibinafishwi bali Serikali inaleta Mwekezaji ambaye ataiendesha kwa makubaliano yatakayoongeza ufanisi kiutendaji “Tumepata Mwekezaji ambaye ni kama unamkodisha kwamba nakupa duka langu lakini masharti ya uendeshaji ni moja, mbili, tatu”

Millard
Bashungwa, mkataba ndio unaotakiwa uondoe watu hofu sio wewe, wala CCM wala Serikali.
 
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa amesema Bandari ya Dar es salaam haiuzwi na wala haibinafshwi na kwamba maamuzi ya Serikali kuhusu DP World kuendesha Bandari hiyo ni mkakati wa kupanua wigo wa vyanzo vya mapato ili kuondoa usumbufu kwa Wananchi kwa kutozwa tozo nyingi ambazo zingetumika kutekeleza miradi mbalimbali.

“Lazima tupanue wigo wa vyanzo vya mapato ili tusiwe tunaenda kwa Mwananchi huyohuyo kila siku tunaongeza tozo, tozo, tozo lazima Serikali iwe bunifu kwa kuangalia vyanzo ambavyo vitakuwa rafiki kwa Mwananchi kwa maana havitomrudisha nyuma kwenye umasikini kwa kumtoza zaidi kile ambacho anakipata kama pato na riziki yake”

Bashungwa amesema hayo wakati wa mwendelezo wa ziara yake Jimbo la Karagwe ya kuongea na Wananchi na kukagua miradi ya maendeleo katika Kata za Chonyonyo, Chanika, Rugera na Kihanga.

“Tanzania tuna Bandari ambayo ufanisi wake ulikuwa mdogo katika uendeshaji, ndio maana Serikalk ikaamua kutafuta Mwekezaji ambaye ataongeza ufanisi ili tuweze kupata mapato zaidi ambayo yataenda kutoa huduma za kijamii kwa Watanzania”

Bashungwa amewatoa hofu Wananchi wa Mkoa Kagera kwa kueleza kuwa Bandari haiuzwi wala haibinafishwi bali Serikali inaleta Mwekezaji ambaye ataiendesha kwa makubaliano yatakayoongeza ufanisi kiutendaji “Tumepata Mwekezaji ambaye ni kama unamkodisha kwamba nakupa duka langu lakini masharti ya uendeshaji ni moja, mbili, tatu”

Millard
Hili dude linaitwa mkataba makubaliano ni gumu sana na ni zito lazima watu warudi mashinani kuongea wawezalo hili maisha yaendelee.
 
Kuna dalili mkataba wa DP world ukaruka na TALAKA kwa mtu aliyeusaini huu mkataba.
 
Kitu ccm wamefanikiwa kwenye nchi hii ni hiyo kwenda kuhutubia wananchi, kisha kusema walikuwa wanaongea na wananchi. Cha kushangaza kwenye hizo hutuba hawako tayari kuulizwa maswali, na ikitokea wakaulizwa wanatoa majibu badala ya majawabu!
 
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa amesema Bandari ya Dar es salaam haiuzwi na wala haibinafshwi na kwamba maamuzi ya Serikali kuhusu DP World kuendesha Bandari hiyo ni mkakati wa kupanua wigo wa vyanzo vya mapato ili kuondoa usumbufu kwa Wananchi kwa kutozwa tozo nyingi ambazo zingetumika kutekeleza miradi mbalimbali.

“Lazima tupanue wigo wa vyanzo vya mapato ili tusiwe tunaenda kwa Mwananchi huyohuyo kila siku tunaongeza tozo, tozo, tozo lazima Serikali iwe bunifu kwa kuangalia vyanzo ambavyo vitakuwa rafiki kwa Mwananchi kwa maana havitomrudisha nyuma kwenye umasikini kwa kumtoza zaidi kile ambacho anakipata kama pato na riziki yake”

Bashungwa amesema hayo wakati wa mwendelezo wa ziara yake Jimbo la Karagwe ya kuongea na Wananchi na kukagua miradi ya maendeleo katika Kata za Chonyonyo, Chanika, Rugera na Kihanga.

“Tanzania tuna Bandari ambayo ufanisi wake ulikuwa mdogo katika uendeshaji, ndio maana Serikalk ikaamua kutafuta Mwekezaji ambaye ataongeza ufanisi ili tuweze kupata mapato zaidi ambayo yataenda kutoa huduma za kijamii kwa Watanzania”

Bashungwa amewatoa hofu Wananchi wa Mkoa Kagera kwa kueleza kuwa Bandari haiuzwi wala haibinafishwi bali Serikali inaleta Mwekezaji ambaye ataiendesha kwa makubaliano yatakayoongeza ufanisi kiutendaji “Tumepata Mwekezaji ambaye ni kama unamkodisha kwamba nakupa duka langu lakini masharti ya uendeshaji ni moja, mbili, tatu”

Millard
Du KAZI tunayo. Unampa MTU duka Lako aliendeshe afu unasema hujabinafisisha
 
Back
Top Bottom