Bashungwa: Bandari ikiongeza mapato, Tozo zitaisha

Bashungwa: Bandari ikiongeza mapato, Tozo zitaisha

Bashungwa msikilize huyu mama👇👇
 

Attachments

  • IMG_1355.MP4
    11.3 MB
"4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?"
 
Huyu nae mbona anaingilia kazi ya wengine, atuambie kama tuna mabomu ya kutosha store, mengine ayaache.
 
Back
Top Bottom