Kwani kikwete alikubalika kwa kipi haswa alichokifanya?Ungesema kuwa alikubalika katika wizara zipi kwa mabadiliko gani aliyo yafanya kwa hizo wizara yakaleta tija; Unajua mtu anaweza kukubalika sana kwa kufuata dancing bits
Huyu kijana mwenye uhusiano mzuri na watumishi wa nyumba za ibada na na anyeng'aa kila wizara anayopelekwa je ndio afuataye?
Moja ya vipimo vya mtu kujua kama anakubalika ama laa huwa ni kugombea NEC kisha aone kukubalika kwake na wapiga kura.
Kwa kiasi hatua ya kwanza amefanikiwa hivyo hawezi kupuuzwa.
Anatufaa,Lake zone tushampa baraka zetu.
Kwani kikwete alikubalika kwa kipi haswa alichokifanya?
Bora twende huko huko maana Kuna Kanda zingine uhuni umezidiTunataka kuiga mambo ya Kenya?. Kuchagua Rais kulingana na ukanda?.
😂😂Unaanza kumuharibia sasa.
Acha kumharibia mtu wa Mungu huyo kijana hana kundi la kusifu na kuabudu na anajua kucheza na mfumo muache atulie, mwishoe utamharibia kabisa.
Umetumwa na General Kagame !.Ina maana Karagwe na kule....
Hapana ni ukweli unasemwaUnaanza kumuharibia sasa.
kusema ndo kuharibu?Acha kumharibia mtu wa Mungu huyo kijana hana kundi la kusifu na kuabudu na anajua kucheza na mfumo muache atulie, mwishoe utamharibia kabisa.
muda umefikaBado mapema sana!