aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Huyu kijana mwenye uhusiano mzuri na watumishi wa nyumba za ibada na na anyeng'aa kila wizara anayopelekwa je ndio afuataye?
Moja ya vipimo vya mtu kujua kama anakubalika ama laa huwa ni kugombea NEC kisha aone kukubalika kwake na wapiga kura.
Kwa kiasi hatua ya kwanza amefanikiwa hivyo hawezi kupuuzwa.
Moja ya vipimo vya mtu kujua kama anakubalika ama laa huwa ni kugombea NEC kisha aone kukubalika kwake na wapiga kura.
Kwa kiasi hatua ya kwanza amefanikiwa hivyo hawezi kupuuzwa.