Bashungwa: Tozo zimejenga vituo vya afya 234

Hahahahah hii ndio ile umechukua hela kwa baba, mjomba, bamdogo na kaka mkubwa halafu zote unasingizia ni hela za mtihani 😂😂😂!

Kimbembe chake taarifa zimemrudia mzee... Sema kimeumana!!!
Wapuuzi Hawa wajinga
 

Tozo zimeanza lini na wamejenga lini? Na ile pesa ya Covid 19 waliyosema imejenga madarasa etc ni ipi?
 
Kuna mambo yanasikitisha sana kuyasikia,,,,,aliyeturoga waAfrica alaaniwe!!!
 
Mikopo imejenga vituo vya afya,hela ya Covid madarasa tozo madarasa na vituo vya afya,sijui lini tutaacha kujenga!Nchi nyingine zinawaza kusafirisha watu mwezini haha,,, ee Mungu ibariki Africa!
 
Binafsi alipoingia huyu mama nilikuwa na matumaini makubwa sana hasa alipokuwa akitoa hotuba zake za mwanzo saivi sina matumaini tena sitaki kusikiliza hotuba zake tena
 
Tozo za kwenyeiamalampaka watu wa vijijini wanakatwa!
 

Tozo zimejenga vituo vya afya 234, JPM alijenga vituo vya afya nchi nzima 457 bila tozo.​

 
Binafsi alipoingia huyu mama nilikuwa na matumaini makubwa sana hasa alipokuwa akitoa hotuba zake za mwanzo saivi sina matumaini tena sitaki kusikiliza hotuba zake tena
Hata ccm wememchoka Inabidi kila anapofika mahali au kuhutubia ccm watengeneze bango kubwa la picha yake ili wasio mpenda kumuona usoni wazame picha.
 

Asitaje tu idadi ya hivyo vituo vya afya, bali atengeneze jedwali kuonyesha kituo kilipo kuanzia mkoa, wilaya, tarafa, muda wa ujenzi kuanza na gharama za kituo. Hapo tutajiridhisha na akisemacho. Kinyume na hapo ni utapeli wa mchana kweupe.
 

Tozo zimejenga vituo vya afya 234, JPM alijenga vituo vya afya nchi nzima 457 bila tozo.​


JPM alijenga vituo vya afya 457, aliwahi kuweka jedwali kuonyesha hivyo vituo, au uliamini zile propaganda zake? Kuna watetezi wa uongo ule ilikuwa ukiwaambia walete jedwali la hivyo vituo vilipo na gharama za ujenzi, wanaishia kutukana tu. Ukitaka kudhibitisha hiki usemacho, weka jedwali ww la hivyo vituo 457 vya afya alivyojenga.
 
Wakati huo samia alikuwa makamu wa Rais sada ni Rais.
2. Philip mpango alikuwa waziri wa fedha na mipango sasa ni makamu wa Rais.
3. Kasmim majaliwa alikuwa waziri mkuu bado ni waziri mkuu,
4.Mwigulu nchemba alikuwawaziri wa sheria na katiba sasa ni waziri wa fedha na mipango.
Kwa mantiki hiyo walihudika kuwadanganya wananchi na bado hadi sasa wataendeleza mbinu hiyo hiyo kuendelea kuwafanganya wanyonge ili waendelee kuwanyonyana kuwapa kura ili waendelee kuwapumbaza wanyonge?
 
Kwani huko vijijini ndio wanataka kukatwa hiyo tozo?
 
We fisi maji kwani hizo tozo twalipa kwa hiari au mwatuibia bila kupenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…