Bashungwa: Tozo zimejenga vituo vya afya 234

Bashungwa: Tozo zimejenga vituo vya afya 234

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Innocent Bashungwa amesema Serikali imejenga vituo vya afya 234 kutokana na fedha za tozo ya miamala ya simu ndani ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake.

Bashungwa ameyasema hayo leo Septemba Mosi wakati akizungumzia manufaa ya tozo hizo ambazo zimekuwa zikipingwa na wadau mbalimbali kwa sababu tofauti ikiwemo kutozwa mara mbili au zaidi.

Amesema hadi kufikia Desemba 2020, Serikali ilikuwa imejenga hospitali za wilaya 102, vituo vya afya 487 na zahanati 1,198.

Amesema serikali ilifanya tathmini ya hali ya hospitali hizo na kuja na mradi wa kujenga vituo vya afya kwenye kila tarafa.

Amesema katika tarafa 570, tayari serikali imejenga vituo vya afya 234 kwenye tarafa 207 ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye aliingia madarakani Machi 19, 2021 baada ya kifo cha mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.

“Kupitia tozo za miamala ya simu, tumeweza kujenga vituo vya afya 234 kwa Sh117 bilioni kwenye hizi tarafa 207 na kila kituo cha afya kimetugharimu Sh500 milioni.
“Ukiangalia toka nchi yetu imepata uhuru na awamu zote zilizotangulia, kuweza kujenga vituo vya afya 234 ndani ya mwaka mmoja, si jambo la kawaida,” amesema Bashungwa.

Amesema kinachopatikana kutoka kwenye kodi jumuishi, kinakwenda kutibu kiu ya wananchi ya kupata huduma za msingi kama vile afya, elimu na barabara na inasaidia kupunguza pengo kati ya wenye nanchi na wasio nacho.

“Tutaendelea kuhakikisha kwamba tunazitumia fedha hizi kutoa huduma bora za afya ya msingi katika maeneo mbalimbali nchini,” amesisitiza Bashungwa.

Kwa upande wa sekta ya elimu, amesema kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwamba, serikali inatakiwa kuendelea kujenga madarasa 15,000 kila mwaka ili kukidhi mahitaji hayo.

“Tathmini ambayo tumeifanya tunahutaji kuendelea kujenga madarasa yasiyopungua 15,000 kila mwaka hadi hawa waliopo kidato cha kwanza watakapoingia kidato cha sita, niwaombe Watanzania hii nchi ni ya kwetu tuendelee kuipa ushirikiano Serikali,” amesema Bashungwa.

Chanzo: Mwananchi

Tozo zimeanza lini na wamejenga lini? Na ile pesa ya Covid 19 waliyosema imejenga madarasa etc ni ipi?
 
Kuna mambo yanasikitisha sana kuyasikia,,,,,aliyeturoga waAfrica alaaniwe!!!
 
Mikopo imejenga vituo vya afya,hela ya Covid madarasa tozo madarasa na vituo vya afya,sijui lini tutaacha kujenga!Nchi nyingine zinawaza kusafirisha watu mwezini haha,,, ee Mungu ibariki Africa!
 
Binafsi alipoingia huyu mama nilikuwa na matumaini makubwa sana hasa alipokuwa akitoa hotuba zake za mwanzo saivi sina matumaini tena sitaki kusikiliza hotuba zake tena
 
Serikali ya Mama inawachekea naamini hata Mawaziri hawapendi huu utaratibu wa kuoleana kindezi na kudekezana bila sababu za msingi..

Na uhakika Mwendazake asingeruhusu huu utoto wa watu kukataa kulipa tozo za kuleta maendeleo..

Mwisho Hawa Hawa watu wa Dar wasiotaka kulipa tozo Wala hawana shida Wala kuona madhila ya watu wa Vijijini.
Tozo za kwenyeiamalampaka watu wa vijijini wanakatwa!
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Innocent Bashungwa amesema Serikali imejenga vituo vya afya 234 kutokana na fedha za tozo ya miamala ya simu ndani ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake.

Bashungwa ameyasema hayo leo Septemba Mosi wakati akizungumzia manufaa ya tozo hizo ambazo zimekuwa zikipingwa na wadau mbalimbali kwa sababu tofauti ikiwemo kutozwa mara mbili au zaidi.

Amesema hadi kufikia Desemba 2020, Serikali ilikuwa imejenga hospitali za wilaya 102, vituo vya afya 487 na zahanati 1,198.

Amesema serikali ilifanya tathmini ya hali ya hospitali hizo na kuja na mradi wa kujenga vituo vya afya kwenye kila tarafa.

Amesema katika tarafa 570, tayari serikali imejenga vituo vya afya 234 kwenye tarafa 207 ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye aliingia madarakani Machi 19, 2021 baada ya kifo cha mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.

“Kupitia tozo za miamala ya simu, tumeweza kujenga vituo vya afya 234 kwa Sh117 bilioni kwenye hizi tarafa 207 na kila kituo cha afya kimetugharimu Sh500 milioni.
“Ukiangalia toka nchi yetu imepata uhuru na awamu zote zilizotangulia, kuweza kujenga vituo vya afya 234 ndani ya mwaka mmoja, si jambo la kawaida,” amesema Bashungwa.

Amesema kinachopatikana kutoka kwenye kodi jumuishi, kinakwenda kutibu kiu ya wananchi ya kupata huduma za msingi kama vile afya, elimu na barabara na inasaidia kupunguza pengo kati ya wenye nanchi na wasio nacho.

“Tutaendelea kuhakikisha kwamba tunazitumia fedha hizi kutoa huduma bora za afya ya msingi katika maeneo mbalimbali nchini,” amesisitiza Bashungwa.

Kwa upande wa sekta ya elimu, amesema kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwamba, serikali inatakiwa kuendelea kujenga madarasa 15,000 kila mwaka ili kukidhi mahitaji hayo.

“Tathmini ambayo tumeifanya tunahutaji kuendelea kujenga madarasa yasiyopungua 15,000 kila mwaka hadi hawa waliopo kidato cha kwanza watakapoingia kidato cha sita, niwaombe Watanzania hii nchi ni ya kwetu tuendelee kuipa ushirikiano Serikali,” amesema Bashungwa.

Chanzo: Mwananchi

Tozo zimejenga vituo vya afya 234, JPM alijenga vituo vya afya nchi nzima 457 bila tozo.​

 
Binafsi alipoingia huyu mama nilikuwa na matumaini makubwa sana hasa alipokuwa akitoa hotuba zake za mwanzo saivi sina matumaini tena sitaki kusikiliza hotuba zake tena
Hata ccm wememchoka Inabidi kila anapofika mahali au kuhutubia ccm watengeneze bango kubwa la picha yake ili wasio mpenda kumuona usoni wazame picha.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Innocent Bashungwa amesema Serikali imejenga vituo vya afya 234 kutokana na fedha za tozo ya miamala ya simu ndani ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake.

Bashungwa ameyasema hayo leo Septemba Mosi wakati akizungumzia manufaa ya tozo hizo ambazo zimekuwa zikipingwa na wadau mbalimbali kwa sababu tofauti ikiwemo kutozwa mara mbili au zaidi.

Amesema hadi kufikia Desemba 2020, Serikali ilikuwa imejenga hospitali za wilaya 102, vituo vya afya 487 na zahanati 1,198.

Amesema serikali ilifanya tathmini ya hali ya hospitali hizo na kuja na mradi wa kujenga vituo vya afya kwenye kila tarafa.

Amesema katika tarafa 570, tayari serikali imejenga vituo vya afya 234 kwenye tarafa 207 ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye aliingia madarakani Machi 19, 2021 baada ya kifo cha mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.

“Kupitia tozo za miamala ya simu, tumeweza kujenga vituo vya afya 234 kwa Sh117 bilioni kwenye hizi tarafa 207 na kila kituo cha afya kimetugharimu Sh500 milioni.
“Ukiangalia toka nchi yetu imepata uhuru na awamu zote zilizotangulia, kuweza kujenga vituo vya afya 234 ndani ya mwaka mmoja, si jambo la kawaida,” amesema Bashungwa.

Amesema kinachopatikana kutoka kwenye kodi jumuishi, kinakwenda kutibu kiu ya wananchi ya kupata huduma za msingi kama vile afya, elimu na barabara na inasaidia kupunguza pengo kati ya wenye nanchi na wasio nacho.

“Tutaendelea kuhakikisha kwamba tunazitumia fedha hizi kutoa huduma bora za afya ya msingi katika maeneo mbalimbali nchini,” amesisitiza Bashungwa.

Kwa upande wa sekta ya elimu, amesema kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwamba, serikali inatakiwa kuendelea kujenga madarasa 15,000 kila mwaka ili kukidhi mahitaji hayo.

“Tathmini ambayo tumeifanya tunahutaji kuendelea kujenga madarasa yasiyopungua 15,000 kila mwaka hadi hawa waliopo kidato cha kwanza watakapoingia kidato cha sita, niwaombe Watanzania hii nchi ni ya kwetu tuendelee kuipa ushirikiano Serikali,” amesema Bashungwa.

Chanzo: Mwananchi

Asitaje tu idadi ya hivyo vituo vya afya, bali atengeneze jedwali kuonyesha kituo kilipo kuanzia mkoa, wilaya, tarafa, muda wa ujenzi kuanza na gharama za kituo. Hapo tutajiridhisha na akisemacho. Kinyume na hapo ni utapeli wa mchana kweupe.
 

Tozo zimejenga vituo vya afya 234, JPM alijenga vituo vya afya nchi nzima 457 bila tozo.​


JPM alijenga vituo vya afya 457, aliwahi kuweka jedwali kuonyesha hivyo vituo, au uliamini zile propaganda zake? Kuna watetezi wa uongo ule ilikuwa ukiwaambia walete jedwali la hivyo vituo vilipo na gharama za ujenzi, wanaishia kutukana tu. Ukitaka kudhibitisha hiki usemacho, weka jedwali ww la hivyo vituo 457 vya afya alivyojenga.
 
JPM alijenga vituo vya afya 457, aliwahi kuweka jedwali kuonyesha hivyo vituo, au uliamini zile propaganda zake? Kuna watetezi wa uongo ule ilikuwa ukiwaambia walete jedwali la hivyo vituo vilipo na gharama za ujenzi, wanaishia kutukana tu. Ukitaka kudhibitisha hiki usemacho, weka jedwali ww la hivyo vituo 457 vya afya alivyojenga.
Wakati huo samia alikuwa makamu wa Rais sada ni Rais.
2. Philip mpango alikuwa waziri wa fedha na mipango sasa ni makamu wa Rais.
3. Kasmim majaliwa alikuwa waziri mkuu bado ni waziri mkuu,
4.Mwigulu nchemba alikuwawaziri wa sheria na katiba sasa ni waziri wa fedha na mipango.
Kwa mantiki hiyo walihudika kuwadanganya wananchi na bado hadi sasa wataendeleza mbinu hiyo hiyo kuendelea kuwafanganya wanyonge ili waendelee kuwanyonyana kuwapa kura ili waendelee kuwapumbaza wanyonge?
 
Serikali ya Mama inawachekea naamini hata Mawaziri hawapendi huu utaratibu wa kuoleana kindezi na kudekezana bila sababu za msingi..

Na uhakika Mwendazake asingeruhusu huu utoto wa watu kukataa kulipa tozo za kuleta maendeleo..

Mwisho Hawa Hawa watu wa Dar wasiotaka kulipa tozo Wala hawana shida Wala kuona madhila ya watu wa Vijijini.
Kwani huko vijijini ndio wanataka kukatwa hiyo tozo?
 
Serikali ya Mama inawachekea naamini hata Mawaziri hawapendi huu utaratibu wa kuoleana kindezi na kudekezana bila sababu za msingi..

Na uhakika Mwendazake asingeruhusu huu utoto wa watu kukataa kulipa tozo za kuleta maendeleo..

Mwisho Hawa Hawa watu wa Dar wasiotaka kulipa tozo Wala hawana shida Wala kuona madhila ya watu wa Vijijini.
We fisi maji kwani hizo tozo twalipa kwa hiari au mwatuibia bila kupenda?
 
Back
Top Bottom