GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Tafadhali mwenye taarifa anisaidie.
Kuna basi jingine tofauti na Mkombe Luxury Coach?
Asanteni🙏
Kuna basi jingine tofauti na Mkombe Luxury Coach?
Asanteni🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu ni usahihi wa taarifa🙏Ebu ngoja wazamiaji waje shekh
Tafadhali mwenye taarifa anisaidie.
Kuna basi jingine tofauti na Mkombe Luxury Coach?
Asanteni🙏
Ila wewe mkuu😀Ngoja waje kukupa muongozo...
NGORIKATafadhali mwenye taarifa anisaidie.
Kuna basi jingine tofauti na Mkombe Luxury Coach?
Asanteni🙏
Inapendeza...Ila wewe mkuu😀
Mpaka nimeshayakariri majibu yako🤣
Mkuu, kuna jingine tofauti na Mkombe?Yalikuepo mabasi mawili
Hata hayo mkuu ni msaada mkubwa🙏Au kama kuna magari ya magazeti yanayoka Dsm kwenda Sauzi mumpe namba ya d4ereva
Ni kweli ndugu! Mbona kama Ngorika ni Arusha - Dar?NGORIKA
Yapo mawili.Tafadhali mwenye taarifa anisaidie.
Kuna basi jingine tofauti na Mkombe Luxury Coach?
Asanteni🙏
Hilo Mkombe sasa hivi ni laki 4, sasa ndio utaona hapo ni tatizo la exposure Tu Kwamtu ambaye Hana tatizo la papers.Hivi kwa nini mnakua wanyonge kupanda ndege hizi Malawi air au Rwanda air kwenda na kurudi tiketi tarehe ya kurudi iweke iwe ya mwezi ni laki nane naa tuu na unatumia muda mchache kufika na kupunguza risk na ukitaka Bus panda huko Zambia nenda ukapande ya Wazambia na Lusaka kuelekea Jhb chukua ya Wazambia pia...hizi zetu mpaka waje wazoee sio leo..
🤣Inapendeza...
Mkuu, si mimi ninayetaka kusafiri, ni "jamaa" yangu. Ameamua kutumia huo usafiri wa ardhini kwa makusudi, ili aweze kupita "border" nyingi. Lengo ni ili huko mbeleni passport yake iweze kumsaidia kupata visa ya kwenda "ng'ambo". Anaamini kuwa passport yake ikionekana imeshavuka mipaka mara kadhaa itamrahisishia kupata kibali cha kwenda "ughaibuni".Hivi kwa nini mnakua wanyonge kupanda ndege hizi Malawi air au Rwanda air kwenda na kurudi tiketi tarehe ya kurudi iweke iwe ya mwezi ni laki nane naa tuu na unatumia muda mchache kufika na kupunguza risk na ukitaka Bus panda huko Zambia nenda ukapande ya Wazambia na Lusaka kuelekea Jhb chukua ya Wazambia pia...hizi zetu mpaka waje wazoee sio leo..