Basi gani linaenda Johannesburg Afrika Kusini kutokea Dar es Salaam, Tanzania?

Basi gani linaenda Johannesburg Afrika Kusini kutokea Dar es Salaam, Tanzania?

Mkuu, si mimi ninayetaka kusafiri, ni "jamaa" yangu. Ameamua kutumia huo usafiri wa ardhini kwa makusudi, ili aweze kupita "border" nyingi. Lengo ni ili huko mbeleni passport yake iweze kumsaidia kupata visa ya kwenda "ng'ambo". Anaamini kuwa passport yake ikionekana imeshavuka mipaka mara kadhaa itamrahisishia kupata kibali cha kwenda "ughaibuni".
OK sawa Mkuu safari njema..
 
Mkombe sio BUS zuri mkuu?
Ni basi zuri, na binafsi ninalipenda kwa sababu ni la Mtanzania mwenzangu. Lakini kuna faida unapokuwa na chaguo zaidi ya moja.

Mkombe lilipata ajali hivi karibuni, hiyo ajali haijaathiri ratiba za safari?
 
Nashukuru sana mkuu, lakini inavyoonekana ni Mkombe pekee ndilo lenye route ya Dar Es Salaam to Johannesburg.
Royal Africa Luxury bus
Jaribu hii namba yao; +255622294902 ( Magufuli stand)
Labda kama wameacha route ya kutokea Dar ila ilikuwepo
 
Back
Top Bottom