Basi gani linaenda Johannesburg Afrika Kusini kutokea Dar es Salaam, Tanzania?

OK sawa Mkuu safari njema..
 
Mkombe sio BUS zuri mkuu?
Ni basi zuri, na binafsi ninalipenda kwa sababu ni la Mtanzania mwenzangu. Lakini kuna faida unapokuwa na chaguo zaidi ya moja.

Mkombe lilipata ajali hivi karibuni, hiyo ajali haijaathiri ratiba za safari?
 
Nashukuru sana mkuu, lakini inavyoonekana ni Mkombe pekee ndilo lenye route ya Dar Es Salaam to Johannesburg.
Royal Africa Luxury bus
Jaribu hii namba yao; +255622294902 ( Magufuli stand)
Labda kama wameacha route ya kutokea Dar ila ilikuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…