- Thread starter
- #21
Mleta mada ameweka concerns
- Kuna watu hawana nauli ya kufika stand
- Kuna watu wana mizigo mizito
- Mkataba wa abiria na mtoa huduma ni kuwafikisha stand, kama hawajafikishwa basi ni bovu, watafutiwe means ya kufika
Nakazia mjumbe.... Na hiki ndicho kinanifanya nielewe kwanini kiongozi yeyote wa nchi akiamua kufanya upumbavu wowote anafanya kwasababu keshajua wananchi wengi ni misukule. At all, watu hawalingani vipato. Kuvunja mkataba ni kosa kisheria.
Nimekuja kuonesha kosa ili wenye mamlaka wachukue hatua kama funzo kwa wengine ila kuna narrow minded people hata hawaelewi agenda kubwa ni ipi.
Acha kodi ziwekwe kede kede. At all mafuta yapande bei, tunaumia sisi so viongozi wa serikali, tozo za mihamala zinatuua sisi si serikali ambapo wao hadi communication allowances wanapewa.
Wananchi tuzinduke kama kenya hapo tuu muone kama viongozi watafanya upumbavu.
Nawaibia siri, nchi ya demokrasia, nguvu kamili iko kwa wananchi. Amkeni.