Basi la Alfa lililopata ajali Nzega lilibeba abiria 78. Je, kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?

Basi la Alfa lililopata ajali Nzega lilibeba abiria 78. Je, kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?

Mimi sio mwenyeji sana wamabasi ya abiria.

Ninaomba kuuliza! Je kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?

Je, basi hilo lilitokea mwanza je lilikaguliwa popote na polisi njiani?

Je, orodha ya waliofariki majina yao yako wapi?

Je, majina ya majeruhi 60 yako wapi?

RPC Tabora, OCD Nzega na mkuu wa wilaya ya Nzega bado wako ofisini na ni watumishi wa UMMA?
kuna mabasi yanajaza abiria kama ,Rumbesa vile, hadi abiria 100, kuna ndoo huwa wanaweka kwenye buti safari ikianza wanabadilisha zile ndoo zinakuwa siti
 
Mimi sio mwenyeji sana wamabasi ya abiria.

Ninaomba kuuliza! Je kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?

Je, basi hilo lilitokea mwanza je lilikaguliwa popote na polisi njiani?

Je, orodha ya waliofariki majina yao yako wapi?

Je, majina ya majeruhi 60 yako wapi?

RPC Tabora, OCD Nzega na mkuu wa wilaya ya Nzega bado wako ofisini na ni watumishi wa UMMA?
hii nchi Ina viongozi wa hovyo mno!
 
Kwani Lori halikuwa na watu? Kulikoni mahesabu yako kuwaweka wote kwenye bus?

Vipi wapiga debe ambao huonekana kuondoka na gari likiondoka kwa umbali fulani?

Idadi yako inazingatia watoto wa kubebwa mikononi na hata wafanyakazi kwenye bus kama abiria?

Nadhani ungejikita kwenye kuomba orodha zaidi, badala ya kukimbilia kwenye hukumu.

Au nasema uongo ndugu yangu?
sawa.. toa abiria 8 lipo basi linabeba abiria 70 mza to dar?
 
sawa.. toa abiria 8 lipo basi linabeba abiria 70 mza to dar?

Hukumu ni baada ya ushahidi usioacha shaka:

1. Lori lilikuwa na watu wangapi?
2. Wafanyakazi was kwenye bus?
3. Watoto?

Kwanini kutokujikita kupata taarifa zote kwanza?

Zingatia: sikubalini na idadi ya watu kuzidishwa kinyume cha utaratibu.
 
Suala la overloading ni kuwaonea tu Polisi,shida ni abiria wenyewe!

Kwa nini upande gari lililojaa nyakati hizi ambazo usafiri siyo tatizo?

Unakubalije kufaulishwa ili kukwepa mizani na vituo vya ukaguzi vya polisi?
Raia tuna tabu sana mtu unatakiwa kujijali mwenyewe cha ajabu unasubiri polisi akujali wewe.
 
Kinachojitokeza na kuonekana barabarani kwa mikoa ya Kagera, Simiyu, Mara, Mwanza, Shinyanga na Tabora hakuna serikali bsrabarani, hivyo kila abiria alinde maisha yake!
Kuna gari za dar _geita ni hatari sana abiria wanasimama mpka mlangoni
 
Suala la overloading ni kuwaonea tu Polisi,shida ni abiria wenyewe!

Kwa nini upande gari lililojaa nyakati hizi ambazo usafiri siyo tatizo?

Unakubalije kufaulishwa ili kukwepa mizani na vituo vya ukaguzi vya polisi?
Naunga mkono hoja.
Maana gari zikikaribia vituo vya ukaguzi abiria hupandishwa bajaji. Na basi hubqki level kabisa
 
Hiyo bus ilitoka Dar nadhani maana nilikua nimetoka Iringa nikakosa usafiri wa moja kwa moja hadi Mbeya nikashukia makambako then ndiyo nikapakiwa humo....lilikua linaitwa Skyline kama sikosei[emoji1787]

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Duh usingekubali 😂😂😂😂😂 🙌😂🙌😂🙌..
Yaani ungepata hata costa tuu pale makambako stand mkuu
 
Mimi sio mwenyeji sana wamabasi ya abiria.

Ninaomba kuuliza! Je kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?

Je, basi hilo lilitokea mwanza je lilikaguliwa popote na polisi njiani?

Je, orodha ya waliofariki majina yao yako wapi?

Je, majina ya majeruhi 60 yako wapi?

RPC Tabora, OCD Nzega na mkuu wa wilaya ya Nzega bado wako ofisini na ni watumishi wa UMMA?
Ndani ya basi watoto walio na umri wa miaka minne hawalipi nauli na hawapewi siti japo nao ni abiria.
 
Back
Top Bottom