Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Nadhani ni ile walikuwa wanaiita mgoboleIlikuwepo Champion Bus moja Dar - Dodoma 2×3 ilikuwa na capacity ya 70 psg
Sema ni yale mabodi ya Keko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ni ile walikuwa wanaiita mgoboleIlikuwepo Champion Bus moja Dar - Dodoma 2×3 ilikuwa na capacity ya 70 psg
Sema ni yale mabodi ya Keko
kuna mabasi yanajaza abiria kama ,Rumbesa vile, hadi abiria 100, kuna ndoo huwa wanaweka kwenye buti safari ikianza wanabadilisha zile ndoo zinakuwa sitiMimi sio mwenyeji sana wamabasi ya abiria.
Ninaomba kuuliza! Je kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?
Je, basi hilo lilitokea mwanza je lilikaguliwa popote na polisi njiani?
Je, orodha ya waliofariki majina yao yako wapi?
Je, majina ya majeruhi 60 yako wapi?
RPC Tabora, OCD Nzega na mkuu wa wilaya ya Nzega bado wako ofisini na ni watumishi wa UMMA?
hii nchi Ina viongozi wa hovyo mno!Mimi sio mwenyeji sana wamabasi ya abiria.
Ninaomba kuuliza! Je kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?
Je, basi hilo lilitokea mwanza je lilikaguliwa popote na polisi njiani?
Je, orodha ya waliofariki majina yao yako wapi?
Je, majina ya majeruhi 60 yako wapi?
RPC Tabora, OCD Nzega na mkuu wa wilaya ya Nzega bado wako ofisini na ni watumishi wa UMMA?
sawa.. toa abiria 8 lipo basi linabeba abiria 70 mza to dar?Kwani Lori halikuwa na watu? Kulikoni mahesabu yako kuwaweka wote kwenye bus?
Vipi wapiga debe ambao huonekana kuondoka na gari likiondoka kwa umbali fulani?
Idadi yako inazingatia watoto wa kubebwa mikononi na hata wafanyakazi kwenye bus kama abiria?
Nadhani ungejikita kwenye kuomba orodha zaidi, badala ya kukimbilia kwenye hukumu.
Au nasema uongo ndugu yangu?
sawa.. toa abiria 8 lipo basi linabeba abiria 70 mza to dar?
Na wee ukakalia ndoo..😂😂😂😂🙌🙌🙌Kuna siku niliwahi kalishwa kwenye ndoo makambako
Ndiyo mkuu maana nilikua mgeni maeneo hayo alafu nawahi chuo so ikabidi nikae ningefanyajeNa wee ukakalia ndoo..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Raia tuna tabu sana mtu unatakiwa kujijali mwenyewe cha ajabu unasubiri polisi akujali wewe.Suala la overloading ni kuwaonea tu Polisi,shida ni abiria wenyewe!
Kwa nini upande gari lililojaa nyakati hizi ambazo usafiri siyo tatizo?
Unakubalije kufaulishwa ili kukwepa mizani na vituo vya ukaguzi vya polisi?
Kuna gari za dar _geita ni hatari sana abiria wanasimama mpka mlangoniKinachojitokeza na kuonekana barabarani kwa mikoa ya Kagera, Simiyu, Mara, Mwanza, Shinyanga na Tabora hakuna serikali bsrabarani, hivyo kila abiria alinde maisha yake!
Naunga mkono hoja.Suala la overloading ni kuwaonea tu Polisi,shida ni abiria wenyewe!
Kwa nini upande gari lililojaa nyakati hizi ambazo usafiri siyo tatizo?
Unakubalije kufaulishwa ili kukwepa mizani na vituo vya ukaguzi vya polisi?
Sio safari ya dodoma hii 😂😂😂🙌🙌🙌Ndiyo mkuu maana nilikua mgeni maeneo hayo alafu nawahi chuo so ikabidi nikae ningefanyaje
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Nilikua naenda Mbeya mkuu, nilipandia makambakoSio safari ya dodoma hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Duuh basi ipi hiyo aiseeeNilikua naenda Mbeya mkuu, nilipandia makambako
Hiyo bus ilitoka Dar nadhani maana nilikua nimetoka Iringa nikakosa usafiri wa moja kwa moja hadi Mbeya nikashukia makambako then ndiyo nikapakiwa humo....lilikua linaitwa Skyline kama sikosei[emoji1787]Duuh basi ipi hiyo aiseee
Mbona Mbeya road hakunaga hayo mambo
Duh usingekubali 😂😂😂😂😂 🙌😂🙌😂🙌..Hiyo bus ilitoka Dar nadhani maana nilikua nimetoka Iringa nikakosa usafiri wa moja kwa moja hadi Mbeya nikashukia makambako then ndiyo nikapakiwa humo....lilikua linaitwa Skyline kama sikosei[emoji1787]
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Nilikua mgeni mkuuDuh usingekubali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119][emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]..
Yaani ungepata hata costa tuu pale makambako stand mkuu
Ndo maana...
Ndani ya basi watoto walio na umri wa miaka minne hawalipi nauli na hawapewi siti japo nao ni abiria.Mimi sio mwenyeji sana wamabasi ya abiria.
Ninaomba kuuliza! Je kuna basi lenye uwezo wa kubeba abiria 78?
Je, basi hilo lilitokea mwanza je lilikaguliwa popote na polisi njiani?
Je, orodha ya waliofariki majina yao yako wapi?
Je, majina ya majeruhi 60 yako wapi?
RPC Tabora, OCD Nzega na mkuu wa wilaya ya Nzega bado wako ofisini na ni watumishi wa UMMA?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna gari za dar _geita ni hatari sana abiria wanasimama mpka mlangoni