Basi la Extra Luxury limekamatwa na mirungi 55kg

Wanasachi karibu na ulipo mzigo kuogopa kelele za abiria kupotezewa muda, kuna viumbe ma-snitch sana.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
EXTRA.
 
Ataachiwa kwa NOLLE
 
Hizi mihadarati ni muda sasa ziruhusiwe for export only. Kwa matumizi ya ndani iwe ni kosa.
 
Wanatajiwaa mpaka post mkuu....

Niliwahi kusimamishwa niko na saibaba
Polisi kafika katusimamisha watatu njooon na mabegi yenu mmh nkabeba langu jamaa akasema hana mzigo wakamtishia aonyeshe begi Lake wee 💖
Hiibiashara haiishi kamwe gafla wakamkuta na mzigooo...anahema akapelekwa kwenye defender nyuma akarudi zake lol.....tukaelekea nae....dar
 
Duuh deal ngumu sana hiyo pamoja na ya Wasomali watu wanajilipua tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…