Basi la Extra Luxury limekamatwa na mirungi 55kg

Basi la Extra Luxury limekamatwa na mirungi 55kg

MABASI YA NAIROBI WAKITAKA KUKAMATA MIRUNGI WAKASACHI HAPA

UKIINGIA NDANI MWISHONI KABISA NYUMA
MNAPOKANYAGIA MIGUU YENU MTAONA SCREW PEMBEN.... ZILE ZIFUNGUENN MTAKAYOONA SIRIYENU...

aah ndugu kausha bhana unazid kuharibu au na ww wamekutoa kwenye payroll
 
kenya mirungi ni halali na wana export kwenda ulaya ,sisi huku ni dawa za kulevya
ukivuka tu isibania ni yanauzwa kama mchicha, ukirudi sirari ni dawa za kulevya
Na usishangae kukuta kuna viongozi waandamizi wanakula mirungi lakini kuihalalisha ndio kitu hawataki.... mirungi na ganja vingepandishwa hadhi na kuondolewa kwenye kundi la madawa ya kulevya
 
Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro, limefanikiwa kukamata shehena ya dawa za kulenya aina ya mirungi ndani ya basi la Extra Luxuly lenye namba za usajili T643 DVL ikisafrishwa kutoka mkoani Arusha kwenda jijini Dar es salaam.

Habari kutoka ofisi ya kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro, zimedhibitisha kukamatwa kwa basi hili pichani chini eneo la majengo Mapya wilaya ya same baada ya askari wa usalama barabarani kulifanyia upekuzi basi hilo kwenye buti zake za kuhifadhi mizigo.

Kwa mujibu wa habari hizo,basi hilo lilikamatwa wakati likisafrisha wanafunzi wa shule ya Arusha sayansi kutoka Jijini Arusha kuelekea Dar es salaam wakirejea makwao baada ya muhula wa mwisho wa masomo kumalizika.

Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amedhibitisha kukamatwa kwa basi hilo likiwa na shehena hiyo ya mirungi ambako imekutwa misokoto 365 sawa na kilogram 55 kiwango ambacho kinatajwa kuwa ni kikubwa .

Mirungi imeingizwa kwenye sheria ya madawa ya kulevya na mtu anayepatikana na hati ya kusafrisha madawa hayo adhabu yake ni kifungo cha maisha jela huku anayekutwa akitumia adhabu yake ni kifungo cha miaka 30 jela.

Kosa la kusafrisha dawa kulevya linaangukia kwenye kifungu cha 15 kifungu kidogo cha kwanza(b) cha sheria namba 5 ya mwaka 2015 ya udhibiti wa usafrishaji wa dawa za kulevya kama ilivyofanyiwa marejeo madogo ya sheria namba 23 ya mwaka 2016.

Mwaka 2017 aliyekuwa mtumishi wa PPF mkoa wa Kilimanjaro,Anitha Oswald alikamatwa na shhena ya mirungi kilo 216 akifrisha kutoka Njia panda ya Himo akitumia gari lake aina ya Toyota CIENTA T674DLB,Anitha akihukumiwa kifungo cha maisha jela baada yakukuitwa na hatia ya kusafrisha dawa za kulevyas na gari lake likitaifishwa na serikali.

Tusubiri kuona je basi hilo litataifishwa na serikali baada ya watuhumiwa kushitakiwa na kisha kupatikana na hatia?

Mabasi ya usiku nayo yamulikwe, yanafanya hii biashara polisi mjue maana ukaguzi ni vituo vitatu tu toka Arusha, ni Same, Korogwe na Msata

View attachment 2839611
View attachment 2839639
Ina maana Basi liliacha highway na kuingia mtaani maana Same Majengo mapya ni juu kule mbali na barabara kama unaenda Shule yangu pendwa kiumeni Same boys
 
Kuna kenge kakanyaga waya.....aiseee inakuaga laana sana kama Kuna kirusi kwenye mission
 
Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro, limefanikiwa kukamata shehena ya dawa za kulenya aina ya mirungi ndani ya basi la Extra Luxuly lenye namba za usajili T643 DVL ikisafrishwa kutoka mkoani Arusha kwenda jijini Dar es salaam.

Habari kutoka ofisi ya kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro, zimedhibitisha kukamatwa kwa basi hili pichani chini eneo la majengo Mapya wilaya ya same baada ya askari wa usalama barabarani kulifanyia upekuzi basi hilo kwenye buti zake za kuhifadhi mizigo.

Kwa mujibu wa habari hizo,basi hilo lilikamatwa wakati likisafrisha wanafunzi wa shule ya Arusha sayansi kutoka Jijini Arusha kuelekea Dar es salaam wakirejea makwao baada ya muhula wa mwisho wa masomo kumalizika.

Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amedhibitisha kukamatwa kwa basi hilo likiwa na shehena hiyo ya mirungi ambako imekutwa misokoto 365 sawa na kilogram 55 kiwango ambacho kinatajwa kuwa ni kikubwa .

Mirungi imeingizwa kwenye sheria ya madawa ya kulevya na mtu anayepatikana na hati ya kusafrisha madawa hayo adhabu yake ni kifungo cha maisha jela huku anayekutwa akitumia adhabu yake ni kifungo cha miaka 30 jela.

Kosa la kusafrisha dawa kulevya linaangukia kwenye kifungu cha 15 kifungu kidogo cha kwanza(b) cha sheria namba 5 ya mwaka 2015 ya udhibiti wa usafrishaji wa dawa za kulevya kama ilivyofanyiwa marejeo madogo ya sheria namba 23 ya mwaka 2016.

Mwaka 2017 aliyekuwa mtumishi wa PPF mkoa wa Kilimanjaro,Anitha Oswald alikamatwa na shhena ya mirungi kilo 216 akifrisha kutoka Njia panda ya Himo akitumia gari lake aina ya Toyota CIENTA T674DLB,Anitha akihukumiwa kifungo cha maisha jela baada yakukuitwa na hatia ya kusafrisha dawa za kulevyas na gari lake likitaifishwa na serikali.

Tusubiri kuona je basi hilo litataifishwa na serikali baada ya watuhumiwa kushitakiwa na kisha kupatikana na hatia?

Mabasi ya usiku nayo yamulikwe, yanafanya hii biashara polisi mjue maana ukaguzi ni vituo vitatu tu toka Arusha, ni Same, Korogwe na Msata

View attachment 2839611
View attachment 2839639


Kwa hiyo huyo Dada anatumikia kifungo cha Maisha.
 
Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro, limefanikiwa kukamata shehena ya dawa za kulenya aina ya mirungi ndani ya basi la Extra Luxuly lenye namba za usajili T643 DVL ikisafrishwa kutoka mkoani Arusha kwenda jijini Dar es salaam.

Habari kutoka ofisi ya kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro, zimedhibitisha kukamatwa kwa basi hili pichani chini eneo la majengo Mapya wilaya ya same baada ya askari wa usalama barabarani kulifanyia upekuzi basi hilo kwenye buti zake za kuhifadhi mizigo.

Kwa mujibu wa habari hizo,basi hilo lilikamatwa wakati likisafrisha wanafunzi wa shule ya Arusha sayansi kutoka Jijini Arusha kuelekea Dar es salaam wakirejea makwao baada ya muhula wa mwisho wa masomo kumalizika.

Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amedhibitisha kukamatwa kwa basi hilo likiwa na shehena hiyo ya mirungi ambako imekutwa misokoto 365 sawa na kilogram 55 kiwango ambacho kinatajwa kuwa ni kikubwa .

Mirungi imeingizwa kwenye sheria ya madawa ya kulevya na mtu anayepatikana na hati ya kusafrisha madawa hayo adhabu yake ni kifungo cha maisha jela huku anayekutwa akitumia adhabu yake ni kifungo cha miaka 30 jela.

Kosa la kusafrisha dawa kulevya linaangukia kwenye kifungu cha 15 kifungu kidogo cha kwanza(b) cha sheria namba 5 ya mwaka 2015 ya udhibiti wa usafrishaji wa dawa za kulevya kama ilivyofanyiwa marejeo madogo ya sheria namba 23 ya mwaka 2016.

Mwaka 2017 aliyekuwa mtumishi wa PPF mkoa wa Kilimanjaro,Anitha Oswald alikamatwa na shhena ya mirungi kilo 216 akifrisha kutoka Njia panda ya Himo akitumia gari lake aina ya Toyota CIENTA T674DLB,Anitha akihukumiwa kifungo cha maisha jela baada yakukuitwa na hatia ya kusafrisha dawa za kulevyas na gari lake likitaifishwa na serikali.

Tusubiri kuona je basi hilo litataifishwa na serikali baada ya watuhumiwa kushitakiwa na kisha kupatikana na hatia?

Mabasi ya usiku nayo yamulikwe, yanafanya hii biashara polisi mjue maana ukaguzi ni vituo vitatu tu toka Arusha, ni Same, Korogwe na Msata

View attachment 2839611
View attachment 2839639


Anitha hakufungwa maisha, muachege umbea.

 
Ni machizi peke yao ndio hupakia hiyo kitu kwenye mbasi ya abiria.!! Hiyo bidhaa daily inaingia dar kupitia malorry
Sisi tunasafirisha na 250, Honda, nikitoka nayo pale Taveta saa 11 alfajiri napitia vichochoroni sipitii Holili.
Nakuja kutokea Himo, then Njiapanda, naanza kuisaka Mwanga, Same, Makanya, Hedaru, Mombo, Kabuku, Mkata, Wami, Msata, Nashusha mzigo wa Msata pale, naanza kuitafuta Bagamoyo, nashusha mzigo wa Bagamoyo then mie huyooooo mpaka Temeke Sokota yard, nashusha mzigo namkabizi Aziz Farasi anageuza nae kurudi Holili.

Note: Safari yote hiyo saa 10 jioni mzigo upo sokoni.

Ni salama kiusalama, ila ni risk kiafya ingawa tunakuwa tumekula nguo heavy sana mixer helmet na other protective gears
 
Biashara za kusafirisha vitu vilivyozuiliwa inatakiwa umakini sana. Msafirishaji inabidi kuwa very humble. Ukimzingua hata mtu mmoja kwenye cycle lazima kiwake. Sema askari nao baadae hukuambia aliyechoma. Namna pekee ya kuepuka KUTOKAMATWA NI NI KUTOJIHUSISHA KABISA NA HIZO BIASHARA.
 
Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro, limefanikiwa kukamata shehena ya dawa za kulenya aina ya mirungi ndani ya basi la Extra Luxuly lenye namba za usajili T643 DVL ikisafrishwa kutoka mkoani Arusha kwenda jijini Dar es salaam.

Habari kutoka ofisi ya kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro, zimedhibitisha kukamatwa kwa basi hili pichani chini eneo la majengo Mapya wilaya ya same baada ya askari wa usalama barabarani kulifanyia upekuzi basi hilo kwenye buti zake za kuhifadhi mizigo.

Kwa mujibu wa habari hizo,basi hilo lilikamatwa wakati likisafrisha wanafunzi wa shule ya Arusha sayansi kutoka Jijini Arusha kuelekea Dar es salaam wakirejea makwao baada ya muhula wa mwisho wa masomo kumalizika.

Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amedhibitisha kukamatwa kwa basi hilo likiwa na shehena hiyo ya mirungi ambako imekutwa misokoto 365 sawa na kilogram 55 kiwango ambacho kinatajwa kuwa ni kikubwa .

Mirungi imeingizwa kwenye sheria ya madawa ya kulevya na mtu anayepatikana na hati ya kusafrisha madawa hayo adhabu yake ni kifungo cha maisha jela huku anayekutwa akitumia adhabu yake ni kifungo cha miaka 30 jela.

Kosa la kusafrisha dawa kulevya linaangukia kwenye kifungu cha 15 kifungu kidogo cha kwanza(b) cha sheria namba 5 ya mwaka 2015 ya udhibiti wa usafrishaji wa dawa za kulevya kama ilivyofanyiwa marejeo madogo ya sheria namba 23 ya mwaka 2016.

Mwaka 2017 aliyekuwa mtumishi wa PPF mkoa wa Kilimanjaro,Anitha Oswald alikamatwa na shhena ya mirungi kilo 216 akifrisha kutoka Njia panda ya Himo akitumia gari lake aina ya Toyota CIENTA T674DLB,Anitha akihukumiwa kifungo cha maisha jela baada yakukuitwa na hatia ya kusafrisha dawa za kulevyas na gari lake likitaifishwa na serikali.

Tusubiri kuona je basi hilo litataifishwa na serikali baada ya watuhumiwa kushitakiwa na kisha kupatikana na hatia?

Mabasi ya usiku nayo yamulikwe, yanafanya hii biashara polisi mjue maana ukaguzi ni vituo vitatu tu toka Arusha, ni Same, Korogwe na Msata

View attachment 2839611
View attachment 2839639
Kwa sisi wasafirishaji wa kanda hii hilo si jambo la kishangaa.. tunabebeshwa mirungi bila kujua mara nyingi sana. Na mara nyingi huwa ni dili la hao wa usalama coz wakikushika hakuna namna unaeza chomoka. Kama ni siku ya mkubwa kusafisha jina ndo utakuta unakamatwa na waandishi wa habari wakiwa wameandaliwa kabisa.
 
Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro, limefanikiwa kukamata shehena ya dawa za kulenya aina ya mirungi ndani ya basi la Extra Luxuly lenye namba za usajili T643 DVL ikisafrishwa kutoka mkoani Arusha kwenda jijini Dar es salaam.

Habari kutoka ofisi ya kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro, zimedhibitisha kukamatwa kwa basi hili pichani chini eneo la majengo Mapya wilaya ya same baada ya askari wa usalama barabarani kulifanyia upekuzi basi hilo kwenye buti zake za kuhifadhi mizigo.

Kwa mujibu wa habari hizo,basi hilo lilikamatwa wakati likisafrisha wanafunzi wa shule ya Arusha sayansi kutoka Jijini Arusha kuelekea Dar es salaam wakirejea makwao baada ya muhula wa mwisho wa masomo kumalizika.

Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amedhibitisha kukamatwa kwa basi hilo likiwa na shehena hiyo ya mirungi ambako imekutwa misokoto 365 sawa na kilogram 55 kiwango ambacho kinatajwa kuwa ni kikubwa .

Mirungi imeingizwa kwenye sheria ya madawa ya kulevya na mtu anayepatikana na hati ya kusafrisha madawa hayo adhabu yake ni kifungo cha maisha jela huku anayekutwa akitumia adhabu yake ni kifungo cha miaka 30 jela.

Kosa la kusafrisha dawa kulevya linaangukia kwenye kifungu cha 15 kifungu kidogo cha kwanza(b) cha sheria namba 5 ya mwaka 2015 ya udhibiti wa usafrishaji wa dawa za kulevya kama ilivyofanyiwa marejeo madogo ya sheria namba 23 ya mwaka 2016.

Mwaka 2017 aliyekuwa mtumishi wa PPF mkoa wa Kilimanjaro,Anitha Oswald alikamatwa na shhena ya mirungi kilo 216 akifrisha kutoka Njia panda ya Himo akitumia gari lake aina ya Toyota CIENTA T674DLB,Anitha akihukumiwa kifungo cha maisha jela baada yakukuitwa na hatia ya kusafrisha dawa za kulevyas na gari lake likitaifishwa na serikali.

Tusubiri kuona je basi hilo litataifishwa na serikali baada ya watuhumiwa kushitakiwa na kisha kupatikana na hatia?

Mabasi ya usiku nayo yamulikwe, yanafanya hii biashara polisi mjue maana ukaguzi ni vituo vitatu tu toka Arusha, ni Same, Korogwe na Msata

View attachment 2839611
View attachment 2839639
Kumbe hela ya milungi ndio inayoendesha sIngida fountain gate!
 
Back
Top Bottom