spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Leo mkiona abiria kavaa overall helmet na fire extinguisher mjue ni mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapandia wapi nikuzoom?Leo mkiona abiria kavaa overall helmet na fire extinguisher mjue ni mimi
Mingurumo yake unajua kabisa mabasi yalishachoka tayari sema kuforce tu
Na abiria pamoja na wamasai 2Likiwa tupu au na abiria?
Aisee haya magari huwa hayakaguliwi na trafiki. Kuna haja ya kuyafanyia ukaguzi haya magari wa mara kwa mara maana hayapiti ktk macho ya trafiki tusije tukapepea nusu mlingoti.
Umenena bibiHilo shirika limeshindwa kama yalivyodhindwa mashirika yote ya umma.
Kitila Mkumbo na Mchechu mna kazi kubwa sana.
Ajali ya moto inakua mbaya ikiwa gari limepinduka au limegongana na kusababisha moto ikiwa hivyo limeanza kuwaka mfano Disk zimesababisha au Engine kupata moto watu wote watatoka salama maana mtauona moto ukianza mdogo mdogo nanyi mnashuka kwa kukimbizana...Taarifa ya abiria na dereva mbona haipo?
Unafukuzwa kazi kisa kitu cha kuuza ten daah..Mi ningekuwa dereva wa mwendokasi, wakiweka fire extinguisher naibeba naenda kuuza.
Ten kubwa. Na huwezi fukuzwa kazi. Kwenye gari wanaingia maelfu ya watu. Wengine wezi. Ukweli ni kuwa chochote cha kuuzika ndani ya basi ningeuza.Unafukuzwa kazi kisa kitu cha kuuza ten daah..
Aliyenunua mabasi ya kichina kwenye mradi wa mabasi ya mwendo kasi ni muhujumu uchumi, awajibishweBasi la Mwendokasi limeteketea kwa moto usiku huu eneo la Kibamba mkoani Dar es Salaam.
View attachment 2854032View attachment 2854033
Nchi ya kitu kidogo Ndugu yangu, hayo magari is of very poor quality na Sio ya nchi za joto, Engine nyuma, umeshasikia Yale maikarus yameungua enzi hizo!? Just waende na brand nzuri waachane na hayo inferior qualityAisee haya magari huwa hayakaguliwi na trafiki. Kuna haja ya kuyafanyia ukaguzi haya magari wa mara kwa mara maana hayapiti ktk macho ya trafiki tusije tukapepea nusu mlingoti.
Mwizi huwezi kupewa bus utaendelea kusema ten kubwa tuu..Ten kubwa. Na huwezi fukuzwa kazi. Kwenye gari wanaingia maelfu ya watu. Wengine wezi. Ukweli ni kuwa chochote cha kuuzika ndani ya basi ningeuza.
Inferior quality huyo traffic police ataongeza ubora WA mabus ya hovyo!?Sidhani kama ukaguzi wa trafic utasaidia. Pia kwa ukaguzi wa hayo mabasi hakuna mlo kwa trafic kwa hiyo kazi hiyo sio kipaumbele
Kibo hapa uelekeo ni postaUnapandia wapi nikuzoom?
Sema haya magari hayatoi rushwa kwa trafiki, hakuna trafiki anayekagua gari zaidi ya kuchukua rushwa au kuandika cheti.Aisee haya magari huwa hayakaguliwi na trafiki. Kuna haja ya kuyafanyia ukaguzi haya magari wa mara kwa mara maana hayapiti ktk macho ya trafiki tusije tukapepea nusu mlingoti.
😂😂😂😂😂😂😂Labda mleta uzi ni miongoni mwa abiria waliokuwepo ndani ya basi. Hivyo huenda na yeye ameteketea na moto.
Hii imeendaa...Labda mleta uzi ni miongoni mwa abiria waliokuwepo ndani ya basi. Hivyo huenda na yeye ameteketea na moto.