Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa muonekano wa lile basi chanzo cha moto lazima kitakuwa ni brake callipers na pads. Madereva wengi wa mwendokasi wanatumia brake vibaya. magari yakikuwa yanawastiri kwa upya wake sasa hivi magari yameshachoka disk brake zitawasumbua sana kwa moto.Ajali ya moto inakua mbaya ikiwa gari limepinduka au limegongana na kusababisha moto ikiwa hivyo limeanza kuwaka mfano Disk zimesababisha au Engine kupata moto watu wote watatoka salama maana mtauona moto ukianza mdogo mdogo nanyi mnashuka kwa kukimbizana...
Shida yake ni kuja na mfumo wa brake za disk. Brake calliper likijam hutembei kilometer moja kabla hujasababisha moto. Na kuna uwezekano kuwa hawatumii genuine brake pads.Haya magari tulishayaona makosa yake...toka yalipoingia....tulikuwa na mchizi Kea ambae ni mtaalam tulifanya nae kazi Grinaker Lta
Pia Engine nyuma si afya kwa mazingiraShida yake ni kuja na mfumo wa brake za disk. Brake calliper likijam hutembei kilometer moja kabla hujasababisha moto. Na kuna uwezekano kuwa hawatumii genuine brake pads.
Kwenye huu mradi hata wangenunua mabasi ya wazungu bado yangekufa tu!!!Aliyenunua mabasi ya kichina kwenye mradi wa mabasi ya mwendo kasi ni muhujumu uchumi, awajibishwe
Na huwa yanachemka sanaMingurumo yake unajua kabisa mabasi yalishachoka tayari sema kuforce tu
Huku job naiba zaidi ya hiyo ten. Lakini nikikuta kitu cha ten au buku tano naiba pia.Mwizi huwezi kupewa bus utaendelea kusema ten kubwa tuu..
Huku job naiba zaidi ya hiyo ten. Lakini nikikuta kitu cha ten au buku tano naiba pia.
Ikirudi pancha.. 😂😂😂Hii imeendaa...
😂😂😂😂Ikirudi pancha.. 😂😂😂