Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
BASI LA SHTCO NI WAAMINIFU SANA.
Jana kipindi natoka Mwanza kuja Dom kuelekea Dar, tulipofika Singinda stand nilishuka Mara moja lakini niliangusha VITAMBULISHO vyangu na Vijisenti. Baada ya dakika 5 hivi nikaona simu inaingia kupokea naambiwa nimeangusha VITAMBULISHO na Pesa, kusogea kwenye gari wakanikabidhi Nyaraka zangu na Pesa Kama zilivyo. Kazi nzuri aliyoifanya Dreva mwenyewe ambaye ndiye aliyeniokoa.....Ubarikiwe Sana Dreva wa Basi la SHTCO, ni Mabasi mangapi wanauaminifu Kama huu@DODOMA-DON NALIMISON.
https://www.facebook.com/View attachment 1537723
Mkuu ukitaka upate Raha Tangaza unahamia CCM yaan hata kama unauza Unga utapokelewa vizuri na kupewa uDC changamkia fursa fasta maana nkikuangalia naona huna Tofauti na Ole Sabaya kabisa halafu naona kama hyo picha umetukata uhondo kuna mtu anakula denda hapo
Ilikuwa shilingi ngapi mkuuBASI LA SHTCO NI WAAMINIFU SANA.
Jana kipindi natoka Mwanza kuja Dom kuelekea Dar, tulipofika Singinda stand nilishuka Mara moja lakini niliangusha VITAMBULISHO vyangu na Vijisenti. Baada ya dakika 5 hivi nikaona simu inaingia kupokea naambiwa nimeangusha VITAMBULISHO na Pesa, kusogea kwenye gari wakanikabidhi Nyaraka zangu na Pesa Kama zilivyo. Kazi nzuri aliyoifanya Dreva mwenyewe ambaye ndiye aliyeniokoa.....Ubarikiwe Sana Dreva wa Basi la SHTCO, ni Mabasi mangapi wanauaminifu Kama huu@DODOMA-DON NALIMISON.
https://www.facebook.com/View attachment 1537723
Change your mindset into postivity things will be alright on your side. Otherwise utayaaga majiji yote Tanzania.BASI LA SHTCO NI WAAMINIFU SANA.
Jana kipindi natoka Mwanza kuja Dom kuelekea Dar, tulipofika Singinda stand nilishuka Mara moja lakini niliangusha VITAMBULISHO vyangu na Vijisenti. Baada ya dakika 5 hivi nikaona simu inaingia kupokea naambiwa nimeangusha VITAMBULISHO na Pesa, kusogea kwenye gari wakanikabidhi Nyaraka zangu na Pesa Kama zilivyo. Kazi nzuri aliyoifanya Dreva mwenyewe ambaye ndiye aliyeniokoa.....Ubarikiwe Sana Dreva wa Basi la SHTCO, ni Mabasi mangapi wanauaminifu Kama huu@DODOMA-DON NALIMISON.
https://www.facebook.com/View attachment 1537723
Hata kusoma mwalimu kashindwa,Hayo mabus yanaitwa SATCO Mkuu
dar imejaa mkuu...........watu wanalalal nje,baki hapo dom....uuze sidii zako hapo sokoni kwa ndugai.
π π π π π π πSasa nimepata majibu, I hope hiyo uliyoishika mkubwa wake pia huwa unamtumia na ndiyo chanzo cha haya yote.
Unaimanisha na don akatunzwe kwenye mbuga ya wanyama CHATO Buligi?We ni kiumbe adimu sana hapa nchini uwa nashangaa kwanni serikali itumie pesa nyingi kumtunza faru Fausta halafu wasifanye hivyo hivyo kwa watu kama wewe? Au tumeridhika na uchumi wa kati tu!