Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam Don
Sasa huu ndio wakati mubashara kabisa wa kukutana na P Funk baada ya wakati ule plan ku fail
Mkuu Don samahani, naweza kukuuliza swali moja hapa chap?Yap.
BASI LA SATCO NI WAAMINIFU SANA.
Jana kipindi natoka Mwanza kuja Dom kuelekea Dar, tulipofika Singinda stand nilishuka Mara moja lakini niliangusha VITAMBULISHO vyangu na Vijisenti. Baada ya dakika 5 hivi nikaona simu inaingia kupokea naambiwa nimeangusha VITAMBULISHO na Pesa, kusogea kwenye gari wakanikabidhi Nyaraka zangu na Pesa Kama zilivyo. Kazi nzuri aliyoifanya Dreva mwenyewe ambaye ndiye aliyeniokoa.....Ubarikiwe Sana Dreva wa Basi la SHTCO, ni Mabasi mangapi wanauaminifu Kama huu@DODOMA-DON NALIMISON.
View attachment 1537723
Ndio......madalali wanakaza sana,hupati chumba,utaweza kushindia mihogo ya jero?Ina maana vyumba vimejaaaa
Bahat yako Makonda hayupo mwenye jiji lake, angekurudisha unapotokaBASI LA SATCO NI WAAMINIFU SANA.
Jana kipindi natoka Mwanza kuja Dom kuelekea Dar, tulipofika Singinda stand nilishuka Mara moja lakini niliangusha VITAMBULISHO vyangu na Vijisenti. Baada ya dakika 5 hivi nikaona simu inaingia kupokea naambiwa nimeangusha VITAMBULISHO na Pesa, kusogea kwenye gari wakanikabidhi Nyaraka zangu na Pesa Kama zilivyo. Kazi nzuri aliyoifanya Dreva mwenyewe ambaye ndiye aliyeniokoa.....Ubarikiwe Sana Dreva wa Basi la SHTCO, ni Mabasi mangapi wanauaminifu Kama huu@DODOMA-DON NALIMISON.
View attachment 1537723
Don ni msanii mkubwa sana,wakina slay queen hawato muacha salama.Umekuja na wale mademu wako wanaotikisa madako? Au umekuja na album yako pekee?
Mkuu Don samahani, naweza kukuuliza swali moja hapa chap?
Don ni msanii mkubwa sana,wakina slay queen hawato muacha salama.
Bahat yako Makonda hayupo mwenye jiji lake, angekurudisha unapotoka
Wazazi wa don,wanahasara yenye faida kubwa sana.............karibu dar uje ule visigino vya broiler na supu ya ngozi ya ugoko cow.