Basi la SATCO ni waaminifu sana walimuokoa Don Nalimison Singida

Basi la SATCO ni waaminifu sana walimuokoa Don Nalimison Singida

Mkuu ukitaka upate Raha Tangaza unahamia CCM yaan hata kama unauza Unga utapokelewa vizuri na kupewa uDC changamkia fursa fasta maana nkikuangalia naona huna Tofauti na Ole Sabaya kabisa
Mwana Sacco's huyo(chadema) huoni mikiki yake? [emoji23]
 
Namuonea huruma uliyekaanae siti ya pembeni yako from mwanza to dar
 
Mkuu Masqo

Ulifanikiwa kufika daslama?
 
Don Nalimison unabaki kuwa kielelezo na mfano jadidi wa kijana wa kisukuma. Nenda dar lakini urudi Kanda inakuhitaji
 
Back
Top Bottom