Basi la SATCO ni waaminifu sana walimuokoa Don Nalimison Singida

Naam Don

Sasa huu ndio wakati mubashara kabisa wa kukutana na P Funk baada ya wakati ule plan ku fail
 
Vipi ule uvimbe kichwani umepungua?
punguza fegi mkuu hivi sijaelewa hizo document na hizo fedha Uliziweka kwny wallet?
 
Umekuja na wale mademu wako wanaotikisa madako? Au umekuja na album yako pekee?
 
Hii sura niliiona juzi kati Makere.
 
Wazazi wa don,wanahasara yenye faida kubwa sana.............karibu dar uje ule visigino vya broiler na supu ya ngozi ya ugoko cow.
 
Bahat yako Makonda hayupo mwenye jiji lake, angekurudisha unapotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…