Basi leo nimeumbuka ticha mie..!

Aiseeeeeee, hii nayo kali lakini kawaida sana pole, endelea kuwapa watoto shule na maadamu hukufanya hivyo makusudi haina neno sana, ila siku nyingine uongeze umakini kabla ya kuingia class.
 
hahaaa duu..
 
Nilikuwa nimevaa boxa sema nilikuwa nimechomekea halafu suruali ya kitambaa si unajua zilivyo!
 
ahsante kaka! nimebuni staili mpya kuchomoa shati ninapoingia clas halafu kuchomekea nikitoka! in case any thing hapen
 

i wish ningekuwepo kwenye kukusitiri, hahaha.......

ABBA- Chiquitita Lyrics - YouTube
 
Usipatwe na kiwewe. Hayo ni ya kawaida (ajali kazini). Wakati mwingine wanafunzi darasani humcheka kichinichini mwalimu anapoandika ubaoni maana makalio hutingishika hususani walimu wa kike. Wanafunzi hupata furaha kuona hivyo 'vijimambo.'
 
Kwanza pole sana mkuu!!

Ila mbona haya ya kawaida sana?!! Ila nusura univunje mbavu eti watoto walikuwa wapole kuliko kawaida? Eti hata wale wasinziaji leo walikuwa active? Ha ha ha haaaaaaaaaaaaa!! Hapo vitoto vilikuwa vinatafakari. Kosa ulilolifanya ni kule na wewe kujistukia halafu ukatoka nduki, hapo sasa ndo ungekuwa busy na kumwaga utilio, halafu unatoka kistaarabu bila ku-draw attention za watoto.

Nafikri siku hiyo kule majumbani ulikuwa "the big story" kwa vitoto wakati vinacheza. Pole sana Mkuu. Mimi mwenzio ilawahi kunitokea nimeenda kulipia ada za watoto wangu ofisini kwa Sister kumbe nimeenda bila kupiga lock, weweeee!! kuja kugundua ikabidi niwe mpole mpaka nilipotoka ofisini, ila aibu ilinitanda kwa kweli!!
 
Habari ya mke wangu weka kando. Niulize mimi mzima? Jibu ni ndiyo, kama jiwe la kimondo Mbozi.
Nyie "Watoto" wa siku hizi mnaogopa mpaka Twiga.

Acha hizo bhana, nimem miss shem wangu ujue, afu kumbe unakifahamu kimondo cha Mbozi, mara ya mwisho nimeenda pale mwaka 2007.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…