Nimezipokea samaleko zangu mh Rais wa Majobless Promax dunianiiiiii.Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, natuma salamu kwa ma jobless wote wa jf.
endeleeni kusaka mkate, ipo siku tuta zikamata tu.
Katibu Bolotoba, msemaji makutupora
Ahsante ana mkuu moyo wangu una amani sasaNatuma samaleko zangu zimfikie Nikifa MkeWangu Asiolewe
Nakuhakikishia mke wako hatoolewa siku ukifa
Samaleko zangu zingine zimfikie GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
Ujumbe nakuombea ushindi katika uwekezezaji wako wa Leo ... Hiyo timu upate goli
Na itapata
Jambo hili ntalisimamia kwa Dua, sala, maombi, sadaka na mifungoAhsante ana mkuu moyo wangu una amani sasa
Na iwe hivyo mkuuJambo hili ntalisimamia kwa Dua, sala, maombi, sadaka na mifungo
Hakika hatoolewaaa ... Uwe na amani mkuu