makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
noted, kidumu chama Cha ma jobless pro maxNatuma samaleko zangu kwa RAIS WA MAJOBLESS PROMAX Intelligent businessman namwambia akikuze chamaaa
Sawa Asante sana
Yani acha tu, huku duniani tunapitia mengi. I hope ni kweli mbinguni tutapumzika maana tutafika tumechoka π πNatuma samaleko zangu za mwisho usiku huu wa Leo kwa Theresa49
Ujumbe ni kuwa amenichekesha Sanaa ... Mungu akupe maisha marefu yenye mafanikio sana
watu wawili per jumbe, Mimi natuma kadri niwezavyoπMh Rais wa Majobless Promax Dunianiiiiii Intelligent businessman kumbe tumeambiwa tutume samaleko kwa watu wawili tu π
Sisi tumetuma zaidiii ... Sasa Mimi kama msemaji wa majobless napenda kuwakaribisha kwenye chamaa
ππ ni ukweli mbinguni tutampumzika, tukibaa wimbo wa Musa na Mwana Kondoo!Yani acha tu, huku duniani tunapitia mengi. I hope ni kweli mbinguni tutapumzika maana tutafika tumechoka π π
Mi salamu zangu ziende kwa Mbaga Jr maana naye nahisi anazo kama zile nilizokosea kumtumia best yangu.
Huyu Mbaga Jr ni mpare wa wapi huyu? Thelaaaa herehoaaa! πYani acha tu, huku duniani tunapitia mengi. I hope ni kweli mbinguni tutapumzika maana tutafika tumechoka π π
Mi salamu zangu ziende kwa Mbaga Jr maana naye nahisi anazo kama zile nilizokosea kumtumia best yangu.
Dah hii ni respect kubwa sana kwangu mkuu, asante sana kwa kunikumbuka. Tuishi humu mkuuππππ makutupora nakutakia mapambano mema mkuuSamaleko zangu zikufikie Rule L ... Ujumbe uwe na afya njema mkuu na uwe mafanikio tele
Mapambano gani akati huyo ni jobless pro max π π€£Dah hii ni respect kubwa sana kwangu mkuu, asante sana kwa kunikumbuka. Tuishi humu mkuuππππ makutupora nakutakia mapambano mema mkuu
Huko kwenye ujobless mkuu kikubwa mkono uende kinywaniMapambano gani akati huyo ni jobless pro max π π€£
Mh Rais wa Majobless Promax Dunianiiiiiimakutupora jumbe sioni majibu π