Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
- Thread starter
- #641
Samaleko Lucas Mwashambwa niachie tshirt za kijani kijani mkianza kuzigawa kampeni mkuu wangu π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SamalekoPole zimfikieπ
Asantee sana MkuuNdugu makutupora ameteguka mguu , duuh tumuombee arudi na vibe lake,πͺπΏπ
Dada yake nami [emoji8][emoji8][emoji8]
Pole mkuuAsantee sana Mkuu
Nimeanza kutembea pole pole soon ntakuwa imara
tuta wapokea kuwa fariji, ila hatuna senti za kuwapaπ.Samaleko samaleko! Ziwafikieeee ma uncle wote ambao wanasoma ... kesho ni shuleeee!
Ujumbe; wakiwa majobless wasiumiee Mimi na Rais wa majobless promax duniani Intelligent businessman tutawapokea
Asante sanaaa mkuu! Taarifa hizi zisimfimkie Mh. Rais wa Majobless PromaxPole mkuu
Uli fanyaje tena chief??, kama ni wizi naomba uache ewe jobless.Asantee sana Mkuu
Nimeanza kutembea pole pole soon ntakuwa imara
Hahaha tutawapa chai ila Cha mchana ntawashauri wakibebe wale jioniii.tuta wapokea kuwa fariji, ila hatuna senti za kuwapaπ.
kula wakija home, wata kula, ila nauli za kuwapa hatuna.
Nimetenguka mguu Jana! Nachechemea Mh. Rais ndio maana nikisema taarifa hizi zisifike kwakoUli fanyaje tena chief??, kama ni wizi naomba uache ewe jobless.
ugua pole ewe semaji la ma jobless pro max, Natumai uta pata nafuu mapema.Asante sanaaa mkuu! Taarifa hizi zisimfimkie Mh. Rais wa Majobless Promax
Maana akijua atanipa likizo na nafasi ya msemaji wa CHAMA ntaipotezaaa.
Nitawalinda majobless
Nitawasemea majobless
Nitawapigania majobless
Kudumu chama Cha Majobless chini uwongozi thabiti za Mh. Rais wa Majobless Promax Intelligent businessman
Pumzika ewe semaji, ninge kupa hela ya dawa.Nimetenguka mguu Jana! Nachechemea Mh. Rais ndio maana nikisema taarifa hizi zisifike kwako
Asantee sana Mh. Raisugua pole ewe semaji la ma jobless pro max, Natumai uta pata nafuu mapema.
Ila chanzo ni nini??, Kama ni wizi nakuonya uache.
maana wata kuua semajiππ, au uta enda jela halafu sisi tupoteze msemaji muhimu
Naam tuishi humuAsantee sana Mh. Rais
Siwezi kuibaaa, katiba ya chama Cha Majobless Promax inakataza wizi.
Nanukuu, Sheria namba 8 ibara ya pili;
"Ni Marufuku na haikubaliki katika Chama hili mtu kuwa mwizi au mdokozi wa Mali za watu kama fedha, vyakula, mke au mume n.k! ... Kumbuka msingi wa CHAMA chetu ni upendo na ushirikiano .. Ukikwama sema, kulala njaa siku moja, hakuui ila kuiba siku moja na kukamatwa unaweza kugeuka maiti isiyo na ndugu"
Mwisho wa kunukuu
π€£π€£Mwite katibu wangu LamomyNipo mama kijachoooπ€£π€£πββοΈ
πππππππππAsantee sana Mh. Rais
Siwezi kuibaaa, katiba ya chama Cha Majobless Promax inakataza wizi.
Nanukuu, Sheria namba 8 ibara ya pili;
"Ni Marufuku na haikubaliki katika Chama hili mtu kuwa mwizi au mdokozi wa Mali za watu kama fedha, vyakula, mke au mume n.k! ... Kumbuka msingi wa CHAMA chetu ni upendo na ushirikiano .. Ukikwama sema, kulala njaa siku moja, hakuui ila kuiba siku moja na kukamatwa unaweza kugeuka maiti isiyo na ndugu"
Mwisho wa kunukuu
Can you imagine nimesoma hii comment na Ile sauti ikanijiaaa ya yule mazaaaa!πππππππππ
"Moriseee donti raaaan donti raaaan morise"