spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Yan february imekuja vbaya hapa nlipo nipo juu ya mawe sema mwisho wa mwezi wa feb mbona kesho tu bado siku 29 tuKaka gari inatembelea rim hapa natamani mwisho wa mwezi ufike. Sina ata mia mbovu hapa.
Nashukuru Sana, karibu chamani. I mean no malice to nobodymkuu wa majobless pro max Intelligent businessman kamata yakwako japo me mgeni na hatujuani humu ila nakuappreciate sana una kitu utafika mbali
...
Tayana wangu 😍
Mtoto nzuri mbona ume Anza maigizo😂🤣Sawa tumezipokea
We enuch adriz pokea salam zako🤣🤣Mtoe Enuch kwanza 🤣🤣🤣
Nime pokea vyema.Natuma salamu kwa Mnafiki Wa Kujitegemea
Ujumbe unafiki hautupeleki nyumbani/ nyumbani=Mbinguni.
Natumaa salamu Mwachiluwi , Intelligent businessman , Half american , mshamba_hachekwi
😊☺️
Pamoja mdogo angu..Haina kulia liaNatuma salamu kwa mwanangu Fanton Mahal, hakuna kukata tamaa, kushinda ni kwa wafu tu
Stay blessed broPamoja mdogo angu..Haina kulia lia
Aisee leo nuru ime tanda,Mkuu,
Wasalaam.
Mie nimelelewa na watu hivoo
Muungwana hakatai salamu.
Ijumaa Karim.
🤣🤣🤣🤣
🤣Mie Tena na maigizo wapi na wapiMtoto nzuri mbona ume Anza maigizo😂🤣
Mtoto una panda ndege kabisa, halafu una jiita jobless 😁 🤣🤣Mie Tena na maigizo wapi na wapi
Salaam Salaam. Zawadi yako ipo njoo
Tayana wangu,,,nimefurahi kupata salamu zako nimekumiss pia!unaendeleaje?
naogopaSalaam Salaam. Zawadi yako ipo njoo