Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Afu wewewewe ndio ume nikosa Mimi😂, sitaki dhambi nisizo elewa🤣
Haya bhana 😒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu wewewewe ndio ume nikosa Mimi😂, sitaki dhambi nisizo elewa🤣
Salam zimefika nko poa mkuu,sjui kwa upande wako
shangazi😊😆, exhuma ya kikorea Umesha ingalia.Afu wewe
Haya bhana 😒
Niko salamaSalam zimefika nko poa mkuu,sjui kwa upande wako
Shukrani sana wakati usingizi unaniwinda winda nitume salamu zangu kwa Eli CohenSamaleko Kijana masikini salamu zangu uzipate popote ulipo nakuombea uwe tajiri mkubwa
Ninayo kwenye external, nimeiangalia kidogo tu naona siielewi. Sema mie wakorea bhana sinaga mzuka naoshangazi😊😆, exhuma ya kikorea Umesha ingalia.
Nimezipokea salama
Ume lala godoro la spring, si wenzio una lala chini.
hadi uki shituka usingizini una pumzika kulala🤣😂
AsanteNimezipokea salama
Salamu kwako pia
Kweli mkuuShukran mkuu Tumwesige senior
salamu nyingi zikufikie pamoja sana
ujumbe: Huwezi kumlazimisha nyani aamini asali ni tamu kuliko ndizi
kabisa mkuu[emoji736]Kweli mkuu
Kwanini Eli Cohen rejea post zake kasema kuhusu ARVs kukuhusu??Za weekend poa! Waendeleaje 😍