Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
WENGI WATAKOSA HILO HALINA UBISHI? WEKA JIBU LAKO
JE JAMAA ALITENGENEZA KIASI GANI?
View attachment 2281466
He made nothing.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WENGI WATAKOSA HILO HALINA UBISHI? WEKA JIBU LAKO
JE JAMAA ALITENGENEZA KIASI GANI?
View attachment 2281466
👏👏👏Basic accounting, revenue minus expenses = gross profit.
Hesabu ni janga la kitaifa.[emoji122][emoji122][emoji122]Basic accounting, revenue minus expenses = gross profit.
Dola 60 akauza 70 faida 10....1st round
Buying price $60
Selling price $70
Profit= $10
2nd round
Buying price $80
Selling price $90606
Profit =$10
Total Profit= $20
💥💥💥Nachotaka kujua huyo mbuzi aliliwa supu au..?
Utasemaje aliponunua kwa 80 alipata hasara wakati aliiuza kw 90 baadae?1. Kanunua $60
2. Kauza $70, faida $10
3. Kanunua $80, hasara $10
4. Kauza $90, faida $10, akifidia hasara hapo juu ya $10 hana faida.
Biashara kichaa. Kabaki kama alivyoamka na $60 yake
Mbuzi wa kidigital huyoFaida ya dola 10.
Ila huyu mbuzi kwanini auzwe kwa dola?
Mbona hata chupi inauzwa kwa dola??Dola 60 akauza 70 faida 10....
Akamnunua tena kwa 80 inamaanisha ile 10 ya faida imepotea.... hiyo tunaita bilabila
Kamuuza kwa 90 maana yake kapata tena 10
Faida hapo ni dola 10. Mimi ni jiniaz wa hesabu, baraza la mitihani wananijua.
Mi kinachonishangaza kwanini huyu mbuzi auzwe kwa dola? Mbuzi wa kununuliwa kwa dola atakuwa na supu tamu?
Hizi akili za kukariri ni hatari sana kwenye maisha halisi. Hapa ni ishu ya logic, sio fomular$ 20
Profit ni total sales minus total purchases
Wewe ni jiniaz. Lazima unatumia K Vant wewe....Tuanze
1. Kanunua mbuzi wa 60
2. Kamuuza kwa 70 maana yake ni kapata faida ya 10=(70-60)
3. Kamnunua tena kwa 80 maana ake kama alimuuza kwa 70 na kamnunua tena kwa 80 hivyo hata ile faida ya 10 haitaonekana hivyo itabidi aongezee 10 nyingine ili iwe 70+10=80ya kumnunu upya,
hivyo hapa ana hasara ya 10
(Weka kichwani hapa hasara ya 10=-10)
4. Kamuuza tena kwa 90 hivyo kapata faida ya 10=90-80
Hitimisho
Kumnunua mbuzi kwa mara ya pili aliingiza hasara ya 10 na kwenye kumuuza kwa mara ya pili kapata faida ya 10 basi alichokipata ni 10+-10=0
bas hakuna alichokipata.
Kifupi ni biashara kichaaa🤣
Afadhali chupi inafunika sehemu nyeti. Sasa huyu mbuzi nyeti yake anaiweka wazi kabisa na mkia anaunyanyua juu utamnunuaje kwa dola huku Mpitimbi?mbona hata chupi inauzwa kwa dola??
10usd
Huyu Mwamba katengeneza $20 fasta. Assune yuko na $100, akamnunua Mbuzi kwa $60, akamwuza kwa $70. Hapo katengeneza $10. So mshiko wake unakuwa $110. Akajizungusha, akatudi tena akamnunua kwa $80, kwenye ile $110 ikabaki $30. Akamwuza kwa $90. $90+$30= $120.1. Kanunua $60
2. Kauza $70, faida $10
3. Kanunua $80, hasara $10
4. Kauza $90, faida $10, akifidia hasara hapo juu ya $10 hana faida.
Biashara kichaa. Kabaki kama alivyoamka na $60 yake
Dola 60 akauza 70 faida 10....
Akamnunua tena kwa 80 inamaanisha ile 10 ya faida imepotea.... hiyo tunaita bilabila
Kamuuza kwa 90 maana yake kapata tena 10
Faida hapo ni dola 10. Mimi ni jiniaz wa hesabu, baraza la mitihani wananijua.
Mi kinachonishangaza kwanini huyu mbuzi auzwe kwa dola? Mbuzi wa kununuliwa kwa dola atakuwa na supu tamu?
Mimi nipo mtaani, nimesoma accounts na nina practice in real life mtaaniNa hapo ndio watu wa mtaani wanapotengeneza pesa na kufanikiwa kwenye biashara kuliko wazee wa accounts...
Mimi nipo mtaani, nimesoma accounts na nina practice in real life mtaani...