Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwani aliyeteuliwa siyo mkweli? aongoze familia yake ipate maendeleo siyo lazima awe DCLaiti ungefuatilia utendaji wake usingemlaumu alikuwa Kiongozi mkweli na anayesimamia ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani aliyeteuliwa siyo mkweli? aongoze familia yake ipate maendeleo siyo lazima awe DCLaiti ungefuatilia utendaji wake usingemlaumu alikuwa Kiongozi mkweli na anayesimamia ukweli
Mama yupo kwenye hilo kundi la Uongozi maslah yeye baslla alikuwa anawabana wanufaika wa mwisho kumbe hakuja mnyororo umeanzia IkuluAna msema baada ya kutolewa kwenye ulaji, akajiajiri
Aache na wenzake wapige pesa, nchii hii hakuna mzalendo sema tuna zidiana wiziMama yupo kwenye hilo kundi la Uongozi maslah yeye baslla alikuwa anawabana wanufaika wa mwisho kumbe hakuja mnyororo umeanzia Ikulu
Ndio maana wale viongozi wa CWT waliona mbali!!bora ukae kwenye nafasi ambayo una jua hapa nina mkataba wa miaka 5,labda litokee jingine!!lakini hizi za uteuzi hujui kesho aliyekuteua anakuja na nini?!Vyeo vya kisiasa ni vyeo vya kutafutia mtaji. Usiviweke sana moyoni.
Waione hiiWakiambiwa Katiba mpya ni muhimu wanaziba masikio,matokeo yake ndio haya
Basila kawa DC kwa miaka mitano? Jf Kuna wajinga wengi mnoAnasemaje huyu ? Asifikiri watu walikua hawamjui? Amesahau alichomfanya William Mngazija ?
Amefanya nini Cha ajabu tangu aje hapa?
Korogwe ndio mji pekee hapa duniani ambao katikati yake kunapita mto wenye maji mengi yanayozalisha umeme, lkn Korogwe HAKUNA MAJI YA BOMBA. MIAKA HII MITANO YA BASILA NDIO SHIDA YA MAJI IMEFIKIA KILELENI.
A kwendre huko.....
Nchi imeozaMama yupo kwenye hilo kundi la Uongozi maslah yeye baslla alikuwa anawabana wanufaika wa mwisho kumbe hakuja mnyororo umeanzia Ikulu
ni kweli mkuu lakini mteuaji anatakiwa ajue ni kumpotezea mtu direction ya maisha. Imagine unaacha shughuli zako anakubali uteuzi, baada ya muda unatenguliwa, wakati huo muda wako mwingi uliuweka kwenye siasa, shughuli zako zikafa, unarudi kuanza upyaaaaa.Maisha yana panda shuka nyigi. Atulie fursa zipo
Wahenga walisema maisha nisawa na gwaride alieko mbele anaweza kua nyuma wakati wowoteni kweli mkuu lakini mteuaji anatakiwa ajue ni kumpotezea mtu direction ya maisha. Imagine unaacha shughuli zako anakubali uteuzi, baada ya muda unatenguliwa, wakati huo muda wako mwingi uliuweka kwenye siasa, shughuli zako zikafa, unarudi kuanza upyaaaaa.
lakini ni kuharibiana maisha tu. unamteua mtu, anaacha misele yake kisha baada ya mwaka unamtengua. it is not fair. kwani ukuu wa wilaya una majukumu gani ya kutisha ambayo unalazimika kutengua na kuteua kila mwaka ilhali tunaelewa utendajji wote uko kwa DED?Wahenga walisema maisha nisawa na gwaride alieko mbele anaweza kua nyuma wakati wowote
Binafsi sifurahii kutenguliwa kwa huyo dada maana sijui utendaji wake.lakini ni kuharibiana maisha tu. unamteua mtu, anaacha misele yake kisha baada ya mwaka unamtengua. it is not fair. kwani ukuu wa wilaya una majukumu gani ya kutisha ambayo unalazimika kutengua na kuteua kila mwaka ilhali tunaelewa utendajji wote uko kwa DED?
Wakweli hapa bongo ni watu wasiotakiwa!! Ukiwa mkweli utapata maadui wengi sana !! Lakini utapata ulinzi wa Mungu. !Laiti ungefuatilia utendaji wake usingemlaumu alikuwa Kiongozi mkweli na anayesimamia ukweli