uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Leo game imegawanwa na curry na Edward ila zaidi Curry maana hapa mwisho defence ya France kwenye paint ilikuwa vizuri sana bila kupiga nje ingekuwa shidaKD ndiyo alikuwa fundi wa 3s kwenye mechi nyingi za nyuma. Leo kidogo kikapu kilimkataa.