Basketball: USA kapewa upinzani mkali na South Sudan

KD ndiyo alikuwa fundi wa 3s kwenye mechi nyingi za nyuma. Leo kidogo kikapu kilimkataa.
Leo game imegawanwa na curry na Edward ila zaidi Curry maana hapa mwisho defence ya France kwenye paint ilikuwa vizuri sana bila kupiga nje ingekuwa shida
 
KD ndiyo alikuwa fundi wa 3s kwenye mechi nyingi za nyuma. Leo kidogo kikapu kilimkataa.

Curry 24pts
KD 15pts
Booker 15pts
LBJ 14pts

Hao ndio leading scorers wa USA leo, huwezi sema KD game imemkataa wakati baada ya Curry , KD ndiye anafuatia kwa FG...
 
Aisee 66-67 USA wameponea chupuchupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…