Bastola iliyoua wawili Sinza ni dili kishirikina, lakini pengine pia imebeba mikosi na laana

Umesahau kuweka neno "from chadema" akili zako na za zungu tofauti yake ni kwamba yeye analipwa kwa kila upumbavu anaotamka na wewe unamsaidia kuusambaza.
Ni mawazo ya kinguruwenguruwe!!
 
usisahau na zile za waisrael zilizoua watu kule palestina hivi karibuni.
 
Bila Shaka nilisema mpe kileo masikini ili asahau shida zake kwa muda tu. Sasa narudia pombe si nzuri na nimbaya kwa maamuzi haswa kwa hawa wafuatao, (a) walinda usalam(b) waamuzi(c) wafalme na wakuu wa desturi na Mila. Pombe ni mbaya.
 
usisahau na zile za waisrael zilizoua watu kule palestina hivi karibuni.
Hizo silaha zikishatumika huko ndio hukusanywa na kuja kuuzwa mtumba Afrika kwenye 'black market' na kuingizwa lwenye vikundi vya kigaidi, makundi ya wahuni wauza unga, wafanya magendo, majeshi ya kukodishwa(mercenaries) nknk
 
Bila Shaka nilisema mpe kileo masikini ili asahau shida zake kwa muda tu. Sasa narudia pombe si nzuri na nimbaya kwa maamuzi haswa kwa hawa wafuatao, (a) walinda usalam(b) waamuzi(c) wafalme na wakuu wa desturi na Mila. Pombe ni mbaya.
Nadhani tumeaswa kuwa na KIASI kwenye kila jambo na kwenye kila kitu.. Chochote kinachozidi kiasi si kizuri hata chakula
 
Nadhani tumeaswa kuwa na KIASI kwenye kila jambo na kwenye kila kitu.. Chochote kinachozidi kiasi si kizuri hata chakula
Nimekuelewa vizuri. Kwa ufupi maandiko yanatoa taathari kwa swala la pombe na si kusifia, swali langu halina jibu ndani ya maandiko matakatifu; yanayo sifia pombe eti!.
 
Nimekuelewa vizuri. Kwa ufupi maandiko yanatoa taathari kwa swala la pombe na si kusifia, swali langu halina jibu ndani ya maandiko matakatifu; yanayo sifia pombe eti!.
Hakuna iliposifiwa kwa maana ya kuipa daraja la sifa husika
 
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] nikutakie usiku mwema wansawa ... Usisahau na kusali pia... Lishike sana NENO.. Mshike sana Mungu..!
Katika makosa ninayo mwomba MUNGU ni hilo la kutokusahau kumtukuza na kumwomba, heri nisahau kula usiku lakini nikumbuke kusali na kushukuru kwa yote anayo nitendea. Asante mtumishi kwa kunikumbusha Ubarikiwe.
 
Katika makosa ninayo mwomba MUNGU ni hilo la kutokusahau kumtukuza na kumwomba, heri nisahau kula usiku lakini nikumbuke kusali na kushukuru kwa yote anayo nitendea. Asante mtumishi kwa kunikumbusha Ubarikiwe.
Usiku una mengi... Malaika mlinzi awe nawe..!
 
Hivi hata Wazungu wanaonunua silaha kwenye Maghala (Arsenal) zao pia wanazingatia hili au wananunua wakizingatia mambo ya Kafara au kiroho?

SIAMINI HILI...!!!

Silaha ni Object iliyotengenezwa kwa materials flani like Aluminium, Iron etc. kwa kazi mbili tu

1) Kujeruhi
2) Kuua

Na inauwa kwa kukusudia kabisa au kwa uzembe.

That's all about....!!!

SWALI: Kama ni hizi bunduki za kuuwa wanyama kama mbogo, Tembo n.k zinabeba Makafara pia baada ya kuuwa wanyama?

Kwa Case ya Alex Koroso na S'body Mushi ni ULEVI ndio chanzo cha vifo vyao
 
Azarel naona unahoji unatoa maelezo unafafanua unafikia conclusion ya kwamba HUAMINI lakini baadae unakuja na mwaswali huoni kwamba unajichanganya?
 
Mshana ulisema na kamba ya kujinyongea/mawe yalioua [emoji2]
inabidi nitafute Inkonsikazi litakua la maana zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…