Kwaiyo unataka kusema wamekataza kwasababu ya utamu? ππππUnaijua ile nyama ya kitu haramu..??
Ile imenifanya mpaka sasa nijiulize kwanini ile jamaa waliisema ni haramu!!
Kitu tamu Sana ile Bata yupo ki local Sana lkn ile haramu ngoma ya kimataifa ππ
Mi nimeandika nimemaliza mtajua wasomajiπKwaiyo unataka kusema wamekataza kwasababu ya utamu? ππππ
Pata picha mtu anadeki bahari kipindi hiki cha Coronaumenena kitu navuta picha mapenzi yangekuwa hadharani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo shombo ndio imenitoa kwa mood maana sio wa kwanza nakusikia ukisema hilo.Jaribu inawezekana ukaipenda
Siku ukimuandaa tayarisha ndimu za kutoshaHiyo shombo ndio imenitoa kwa mood maana sio wa kwanza nakusikia ukisema hilo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kila mtu napua yake uenda iyo harufu ikakuvutia,usihofie maneno labda hao walikuwa wakati wanakichanga tumboni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmh!! Nimeghairi.Siku ukimuandaa tayarisha ndimu za kutosha
Mbona samaki wote Wana shombo lakini tunakula. Hata kuku ana shombo, Yani nyama zote tu.Kipendacho roho sijawahi kuielewa nyama yake kwanza inakishombo fulani hata uweke ndimu haikati harufu.
Sawa mkuu ila ya bata imezidiMbona samaki wote Wana shombo lakini tunakula. Hata kuku ana shombo, Yani nyama zote tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mweeeh!! Mbona unanikatisha tamaa mama? Ndio nilikuwa njiani kutafuta nami nionje[emoji134][emoji134][emoji134]