Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Korogwe ni Wilaya mojawapo ndano ya Mkoa wa Tanga. Zingine ni Handeni , Lushoto , Pangani , Muheza , Kilindi , Mkinga na Tanga yenyewe
Ni Wilaya ambao ni kama Centre ya kila mahali kwa mikoa ya kaskazini.
Korogwe - Dar , Korogwe - Arusha , Korogwe - Babati , Korogwe Iringa , Korogwe - Mtwara , Korogwe Morogoro.
Watumishi zaidi ya asilimia 75 Korogwe ni wageni , na zaidi wanatoka kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali.
Korogwe ipo chini ya safu ya milima ya usambara.
Korogwe watu wanakula sana maisha. Una watu tofauti tofauti sana.
Kuna pubs , hotel za kifahari sana!
[emoji482][emoji482] Kama zote through out the week.
Karibu Korogwe.
Ni Wilaya ambao ni kama Centre ya kila mahali kwa mikoa ya kaskazini.
Korogwe - Dar , Korogwe - Arusha , Korogwe - Babati , Korogwe Iringa , Korogwe - Mtwara , Korogwe Morogoro.
Watumishi zaidi ya asilimia 75 Korogwe ni wageni , na zaidi wanatoka kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali.
Korogwe ipo chini ya safu ya milima ya usambara.
Korogwe watu wanakula sana maisha. Una watu tofauti tofauti sana.
Kuna pubs , hotel za kifahari sana!
[emoji482][emoji482] Kama zote through out the week.
Karibu Korogwe.