ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,027
- 2,490
Mvi kamanda huwa hazipauki.Wapambanaji mpooo! Naomben kufaham ni kampuni gani nzuri inayo tengeneza bati imara ambazo haziwezi kupauka?
Nikipata makampuni tofauti tofauti itakuwa vizuri sana na bei zao kwa bando