LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
imechangamka kidogo ukilinganisha na gauge 32, tofauti inaweza ikawa 8000 nzima..per pcBei yake mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imechangamka kidogo ukilinganisha na gauge 32, tofauti inaweza ikawa 8000 nzima..per pcBei yake mkuu
Ebwanaee si mchezo[emoji848]imechangamka kidogo ukilinganisha na gauge 32, tofauti inaweza ikawa 8000 nzima..per pc
HILO KANISA AU UKUMBI WA MIKUTANO😳😳gharama ya ufundi na bati zenyewe bora ununue bati walau gauge 30 upaue nusu ujipange taratibu. nyumba haipauliwi mara mbili ndugu labda ukubali kuingia hasara.
Na huyo shangazi yako nyumba ya bati 140 [emoji31]
Mkuu sishauri kabisa utumie hizo Gage 32 maana ni nyepesi mno, pambana utumie Gage 28 ambazo ni nzito
hakuna sehemu ya kuwa makini napo kama hapo juu kwenye kupaua.. ni kweli watu wanapenda kumiliki nyumba kubwa ila wanakosa elimu ya kufaham maeneo gani yatagharimu zaidi na pengine hata kushindwa kukamilisha, nadhani ni muhimu kabla ya kuamua kutumia ramani ni vizuri kufaham idadi ya bati kwanza . ndio maana wengi wanaishia kupaua na bati za gauge 32 ambazo haipiti miaka mitano wanaanza kuvujiwa ndaniMimi niunge mkono mshangao wako kwenye idadi ya bati, ujue hizo ni bundle 7!!! Shangazi ana makuu si kidogo.
mkuu bati la gauge 32 halifai kabisa kuweka kwenye nyumba ya kuishi atakuja kulaani sana baadae. hizo bati ni za kuweka kwenye mabanda ya kukuMkuu piga vitu kama zisingekuwa umara zisinge wekwa dukani. Kanunue piga bati hamia hayo mengine ya natural calamities tumwachie Mungu huwa yanapiga wote.
Humu nyingine ni lugha za kibiashara ila bati ni bati tu.
Inakaribia karavati ama?Mkuu geji 28 unaijua au unaisikia
Mmmhhh unataka kuniambia kuna mtu anaanza kujenga hajui ramani ya nyumba yake itachukua bati ngapi, tofali, nk? Pengine ni unakuta mtu kajipanga ila kabla ajamaliza mambo yanabadilikahakuna sehemu ya kuwa makini napo kama hapo juu kwenye kupaua.. ni kweli watu wanapenda kumiliki nyumba kubwa ila wanakosa elimu ya kufaham maeneo gani yatagharimu zaidi na pengine hata kushindwa kukamilisha, nadhani ni muhimu kabla ya kuamua kutumia ramani ni vizuri kufaham idadi ya bati kwanza . ndio maana wengi wanaishia kupaua na bati za gauge 32 ambazo haipiti miaka mitano wanaanza kuvujiwa ndani
Ivi gauge 32 ndo vile vinakuwaga vinapitisha mwanga utafikiri wameeka kitambaa?mkuu bati la gauge 32 halifai kabisa kuweka kwenye nyumba ya kuishi atakuja kulaani sana baadae. hizo bati ni za kuweka kwenye mabanda ya kuku
Izo bedrooms nafikiri zinabeba kitanda tu cha futi 4/6 ila kana muonekano mzuriBomoa hiyo nyumba jenga kama hii tofali 1500,bati 62, 3bedrooms
View attachment 1520195
Gauge 28 huzijui wewe...Haiwezi kubeba uzito wa mtu. Ni kweli ni imara kuliko 32 gauge ila kubeba uzito wa mtu si kweli.
Ni kweli.Gauge 28 huzijui wewe...
Zipo mbona mkuu,geji 28 ni balaaHivi kuna bati linahimili uzito wa mtu mzima?
Pole sana mkuu,usiwe mbishi,katafute bati geji 28 uone ubora wakeHaiwezi kubeba uzito wa mtu. Ni kweli ni imara kuliko 32 gauge ila kubeba uzito wa mtu si kweli.
Ni hekalu mkuuHILO KANISA AU UKUMBI WA MIKUTANO😳😳
Nimeezekea gage 28 sijapanda juu cos sio fundi, ila bati kubeba uzito wa mtu?! Uimara 100% ila kubeba uzito wa mtu?;Pole sana mkuu,usiwe mbishi,katafute bati geji 28 uone ubora wake
Sasa utabishaje kitu usichokijua!? Si ungeuliza tu..!!?Ni kweli.