Bati la geji 32 ni lakupaulia au? na ukilipaka rangi linaimarika?

Bati la geji 32 ni lakupaulia au? na ukilipaka rangi linaimarika?

Kuna duka lilinishikisha bati sitosahau, niliwaambia nataka gauge 30 kumbe wameniwekea gauge 32, fundi wangu mwenyewe hata kunambia hakunambia sijui walicheza game, bati zikaenda kugongwa. Katika chunguza chunguza nikakutana na namba kwenye bati imeandikwa 32[emoji26] aiseee nilichoka akilii na kichwa. Ikabidi niendelee tu kupigilia maana sikuwa na namna. Zilikuwa bando 6. Nina miaka miwili tu Sasa hivi bati limepauka balaa.
 
Kuna duka lilinishikisha bati sitosahau, niliwaambia nataka gauge 30 kumbe wameniwekea gauge 32, fundi wangu mwenyewe hata kunambia hakunambia sijui walicheza game, bati zikaenda kugongwa. Katika chunguza chunguza nikakutana na namba kwenye bati imeandikwa 32[emoji26] aiseee nilichoka akilii na kichwa. Ikabidi niendelee tu kupigilia maana sikuwa na namna. Zilikuwa bando 6. Nina miaka miwili tu Sasa hivi bati limepauka balaa.
Paka rangi PVA
 
Tatizo hapa jf kila mtu huwa yuko vizuri mfukoni, watu wanaiponda 32 lakini asilimia kubwa wtz ni masikini kwa hiyo nyumba nyingi zimeezekwa 32 lakini sijawahi kusikia au kuona mtu alilalamika kama watu wanavyo jaribu kutuamisha hapa.
Mkuu fanya kitu kinacho endana na nafasi yako kiuchumi.
 
Nataka kumpaulia shangazi yangu nyumba yake bati la geji 32 futi nane linauzwa 12 kwakuwa nyumba yake ni kubwa inahitaji bati 140 na kwaharakaharaka hiyo hela ninayo ila zaidi ya hapo sitamudu kwasasa .

Naombeni ushauri hi geji 32 ni durable? Na je kutokana na wepesi wake ukilipaka rangi linaimarika .?
Hizo bati labda utumie kujengea mabanda ya kuku ila kwa makazi ya binadamu hazifai hata kuzitlulizia bei tu ni kosa kubwa.

Bati nzuri ni gauge 28 kama itawezekana 26 (ingawa hizi hazipatikani sana sababu ya demand yake kuwa chini ingawa ni imara sana kwa ubora)
 
Shida yake huwa ni nini hasa?
Hivi wewe nawe inamaana ni mgumu kuelewa hivyo. Hizo Bati ni nyepesi kama karatasi..... Yaani kwanza huyo fundi atakaekuwa anapiga huko juu itabidi sijui awe ana nyata maana zitaweka maalama ya kubonyea hadi basi.

Hakuna bati hapo... Achana nazo
 
Hizo bati labda utumie kujengea mabanda ya kuku ila kwa makazi ya binadamu hazifai hata kuzitlulizia bei tu ni kosa kubwa.

Bati nzuri ni gauge 28 kama itawezekana 26 (ingawa hizi hazipatikani sana sababu ya demand yake kuwa chini ingawa ni imara sana kwa ubora)
Hivi mkuu hizo gauge ulizo zitaja kwenye mtaa unao ishi ni watu wangapi wenye uwezo wakuzipaulia?
 
Hivi mkuu hizo gauge ulizo zitaja kwenye mtaa unao ishi ni watu wangapi wenye uwezo wakuzipaulia?
Kwa mtaa niliopo hapa nyumba nyingi zimepigwa gauge hiyo na zaidi wengine wameweka zile vigae vya bati.....

Ni kitu cha kawaida. Unapozungumzia uwezo hiyo nyumba yako itaezekwa bati pisi ngapi labda nikuulize....?! Maaan kuna ubahiri mwingine ni wa hasara sana ukijaribu kufikria.
 
Hivi wewe nawe inamaana ni mgumu kuelewa hivyo. Hizo Bati ni nyepesi kama karatasi..... Yaani kwanza huyo fundi atakaekuwa anapiga huko juu itabidi sijui awe ana nyata maana zitaweka maalama ya kubonyea hadi basi.

Hakuna bati hapo... Achana nazo
Zinatengenezwa kwa ajili ya kazi gani sasa?

Na ikawaje warranty ikatolewa miaka sawa tu na gauge zingine.

BTW:Nimepaulia mabanda since 2013 kutoka Alaf na sijaona tofauti hadi sasa yakiwa kwenye paa.
 
Zinatengenezwa kwa ajili ya kazi gani sasa?

Na ikawaje warranty ikatolewa miaka sawa tu na gauge zingine.

BTW:Nimepaulia mabanda since 2013 kutoka Alaf na sijaona tofauti hadi sasa.
Matumizi yake ni kama hapo uliposema kupaulia majengo yasiyo ya binadamu au majengo ya muda. Hizi bati bei yake ni reflection ya demand ndogo ya vitu vya ubora wa juu kutokana na bei zake kuwa juu.

Si kwamba watanzania hawapendi vitu bora bali tayari tumeshajijengea kununua nafuu kukwepa gharama sababu ya kipato chetu kuwa kidogo sana na serikali yetu kutokuwa makini kusaidia raia wake na swala la mifumuko ya bei kutokana na sababu mbali mbali kama kodi ya juu, gharama za uzalishaji na usafirishaji, pamoja na swala la ulanguzi na madalali wa soko.
 
Back
Top Bottom