Bati zinauzwa, usafiri bure ndani ya Dar es Salaam

Duuuh, niliposoma kichwa cha uzi nikajua kuna usafiri mpya umeingia Dar unaitwa Bati.Bati na wameanza kutoa usafiri bure.

Nikasema acha nifungue uzi nijipatie taarifa nami kesho nipande usafiri wa bure maana mfuko wangu hautoshelezi kulipia uber.
 
Duuuh, niliposoma kichwa cha uzi nikajua kuna usafiri mpya umeingia Dar unaitwa Bati.Bati na wameanza kutoa usafiri bure.

Nikasema acha nifungue uzi nijipatie taarifa nami kesho nipande usafiri wa bure maana mfuko wangu hautoshelezi kulipia uber.
Hahaa..poa poa mkuu karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…