Bati zinauzwa, usafiri bure ndani ya Dar es Salaam

Bati zinauzwa, usafiri bure ndani ya Dar es Salaam

Safi sana
Material ya rough
IMG_20200916_122440.jpg
 
Bati za kampuni ya SUN SHARE napatikana buguruni sheli ndipo ofisi ilipo mkuu

Ili angalau kuwa na credibility fulani tujiulize hii kampuni ya Sun Share Investiment Ltd wana kiwanda chao au ni middleman, kweli ofisi zao zipo Buguruni shell petrol station? lakini uki google inaonyesha ofisi zipo Tazara - Mandela Road bado swali linabaki pale pale kiwanda kipo wapi na kwanini matangazo ni ya mtu mmoja na sio kampuni tajwa?

Cha ajabu na sie wateja wa bati tumekuwa kama mateja wala hatutaki kuuliza material ya bati zao wanapata kutoka wapi na hili naliongelea kwa uchungu kwani watu wengi hivi sasa wanatengeneza bati kwa kutumia scrape halafu wanazipaka rangi watu wanalizwa na baada ya miaka miwili unaweza kusoma jina la ndege inayopita juu ya paa lako hivyo ni vizuri tukajua TBS wanasema nini kuhusu kiwango cha bati hizi

Mwisho website yao ni majanga...http://sunshare.biz/ lakini wanapatikana zaidi facebook na whatsapp

Shida yangu ni RELIABILITY AND QUALITY LEVEL!
 
Ili angalau kuwa na credibility fulani tujiulize hii kampuni ya Sun Share Investiment Ltd wana kiwanda chao au ni middleman, kweli ofisi zao zipo Buguruni shell petrol station? lakini uki google inaonyesha ofisi zipo Tazara - Mandela Road bado swali linabaki pale pale kiwanda kipo wapi na kwanini matangazo ni ya mtu mmoja na sio kampuni tajwa?

Cha ajabu na sie wateja wa bati tumekuwa kama mateja wala hatutaki kuuliza material ya bati zao wanapata kutoka wapi na hili naliongelea kwa uchungu kwani watu wengi hivi sasa wanatengeneza bati kwa kutumia scrape halafu wanazipaka rangi watu wanalizwa na baada ya miaka miwili unaweza kusoma jina la ndege inayopita juu ya paa lako hivyo ni vizuri tukajua TBS wanasema nini kuhusu kiwango cha bati hizi

Mwisho website yao ni majanga...http://sunshare.biz/ lakini wanapatikana zaidi facebook na whatsapp

Shida yangu ni RELIABILITY AND QUALITY LEVEL!
Kaka fanyabiashara yako pasipo kuwapaka wenzio matope na sifa mbaya kwa wengine ili mradi ww ufanye biashara WEWE NI NANI TBS?,MUNGU?,NABII?prove kauli yako kwa vielelezo otherwise uwe unakaa kimya maana hata kauli zako zinaweza kukuingiza matatizoni kwa wenzetu kauli yako hii unafikishwa mahakamani maana unaharibi biashara za watu bila kielelezo chochote cha kuhakikisha unachoongea
 
Mbona unapaniki ye kaongea kipi kibaya hapo
Kaka fanyabiashara yako pasipo kuwapaka wenzio matope na sifa mbaya kwa wengine ili mradi ww ufanye biashara WEWE NI NANI TBS?,MUNGU?,NABII?prove kauli yako kwa vielelezo otherwise uwe unakaa kimya maana hata kauli zako zinaweza kukuingiza matatizoni kwa wenzetu kauli yako hii unafikishwa mahakamani maana unaharibi biashara za watu bila kielelezo chochote cha kuhakikisha unachoongea
 
Kaka fanyabiashara yako pasipo kuwapaka wenzio matope na sifa mbaya kwa wengine ili mradi ww ufanye biashara WEWE NI NANI TBS?,MUNGU?,NABII?prove kauli yako kwa vielelezo otherwise uwe unakaa kimya maana hata kauli zako zinaweza kukuingiza matatizoni kwa wenzetu kauli yako hii unafikishwa mahakamani maana unaharibi biashara za watu bila kielelezo chochote cha kuhakikisha unachoongea
Mangi kikawaida huwa tunaishambulia hoja hatumshambulii mtoa hoja

Jibu hoja yake kwa kuelezea ubora wa bidhaa yako, reference ya Wateja wengine, guarantee ya mteja, Elezea kilipo kiwanda Elezea unapotoa material na Aina ya material
Me Binafsi nime subscribe uzi wako tokea siku ya kwanza unaweka hii post nafatilia Hatua kwa Hatua kujua ubora wako mambo yangu yakiwa njema nikutafute

Kingine tangazo Umeweka JF mteja unamwambia aje whatsapp ushauri wangu kama huwezi kujibu watu wa JF nenda katangazie huko huko whatsapp l.
 
Mangi kikawaida huwa tunaishambulia hoja hatumshambulii mtoa hoja

Jibu hoja yake kwa kuelezea ubora wa bidhaa yako, reference ya Wateja wengine, guarantee ya mteja, Elezea kilipo kiwanda Elezea unapotoa material na Aina ya material
Me Binafsi nime subscribe uzi wako tokea siku ya kwanza unaweka hii post nafatilia Hatua kwa Hatua kujua ubora wako mambo yangu yakiwa njema nikutafute

Kingine tangazo Umeweka JF mteja unamwambia aje whatsapp ushauri wangu kama huwezi kujibu watu wa JF nenda katangazie huko huko whatsapp l.
Watsup ni sehem inayorahisisha zaidi mawasiliano mfano mteja kataka bidhaa mkiwa watsup nirahisi kueleweshana kwa picha zaidi hapa ipo picha moja watsup unatuma picha zaidi ili mteja kujiridhisha
 
Mangi kikawaida huwa tunaishambulia hoja hatumshambulii mtoa hoja

Jibu hoja yake kwa kuelezea ubora wa bidhaa yako, reference ya Wateja wengine, guarantee ya mteja, Elezea kilipo kiwanda Elezea unapotoa material na Aina ya material
Me Binafsi nime subscribe uzi wako tokea siku ya kwanza unaweka hii post nafatilia Hatua kwa Hatua kujua ubora wako mambo yangu yakiwa njema nikutafute

Kingine tangazo Umeweka JF mteja unamwambia aje whatsapp ushauri wangu kama huwezi kujibu watu wa JF nenda katangazie huko huko whatsapp l.
Ishu ya garantee ipo juu nishaiweka bidhaa zina garantee ya miaka 15 likitokea tatizo linalotokana na material yenyewe kuwa sio mazuri mfano kupauka au kushika kutu nakutoboka mteja anapewa bidhaa mpya na kuombwa radhi kwa ilo na iyo kesi haijawai tokea material ni mchanganyiko wa aluminium pamoja na zink na ni imported kutoka china location ya kiwanda ni TAZARA mandela road na ofisi zangu zipo buguruni sheli..
 
Watsup ni sehem inayorahisisha zaidi mawasiliano mfano mteja kataka bidhaa mkiwa watsup nirahisi kueleweshana kwa picha zaidi hapa ipo picha moja watsup unatuma picha zaidi ili mteja kujiridhisha
Ishu ya garantee ipo juu nishaiweka bidhaa zina garantee ya miaka 15 likitokea tatizo linalotokana na material yenyewe kuwa sio mazuri mfano kupauka au kushika kutu nakutoboka mteja anapewa bidhaa mpya na kuombwa radhi kwa ilo na iyo kesi haijawai tokea material ni mchanganyiko wa aluminium pamoja na zink na ni imported kutoka china location ya kiwanda ni TAZARA mandela road na ofisi zangu zipo buguruni sheli..
Hapa imekaa fresh mkuu Sikupingi hapa umenijibu Mimi na watu wengine kibao
Tunajichanga ziki tick tutakutafuta mkuu
 
Je bati hiyo haipauki? maana mabati ya siku hizi unaweza ukaweka la rangi ya dark grey baada ya mwaka unakuta la silver. Sijui tunafeli wapi wabongo
 
Bado upo chini sana kwenye kutanganza biashara, hebu kuwa serious bana. Wabongo sijui hata tunafeli wapi na bado tutalalamika maosha magumu sababu ya ujinga kama huu tulio nao, hakuna wa kukupigia simu kama tu tangazo lako halijajitosheleza.
Fanya haya:
- umeweka bei sawa, ila ungeweka na vipimo hasa vya upana kwa bati zote unazotangaza
- umekomalia gage 28 utafikiri umeambiwa wote wanataka hizo gage 28. Weka bei na gage zote. Mfano: 26, 28, 30, 32 n.k .kama hizo gage hakuna basi sema sio mpaka upigiwe simu ndio useme hakuna.
- weka na utaratibu mtu anaweza kulipaje na kama yupo mbali zitamfikiaje. Hii inavutia mtu hata kama hakupanga kununua kwako atajikuta kanunua. Sasa wewe ukiulizwa kidogo tu, unasema piga simu. Hatuna vocha ila tuna bundle, simu utapigiwa ikiwa tumeshajiridhisha na tunataka kununua
 
Back
Top Bottom