Elections 2010 Batilda Agoma Kusaini Matokeo!

Elections 2010 Batilda Agoma Kusaini Matokeo!

Status
Not open for further replies.
Hallow inaonyesha huyu mama alionga sana ndo maana aamini kama kapigwa chini asaini bwana asitake watu waanza vita. Hatutaki kumwaga damu

Shauri yake Kiravu alishasema hata mtu akatae kusain matokeo hakutabidilisha chochote. Labda wabadilike maana si unajua NEC inaweza kuwa ni National Electral Commision au ile ya CCCCM.
 
Nimepigiwa simu sasa hivi na mtu aliyepo Manispaa Arusha mjini anasema Batilda anakataa katakata kusaini fomu ya matokeo...Wakazi wa Arusha kwa ujumla wao wamezunguka ofisi hizo na wamejaa sana na kufunga barabara zote, hapapitiki kabisa kwa usafiri wa magari!
Nafuatilia zaidi.

It doesn't matter, Asign asi-sign mbunge tushamjua, safari kuelekea mjengoni imekamilika!!!!
 
hakuna kuchakachua hapa. Acha chadema wapewe haki yao.
 
Hali ni mbaya hapa mjini kutamwagika damu leo, nasikia wanataka kumtangaza Batilda mshindi !!!!!!!!!!!
 
Akina Sanctus Mtsimbe wa TPN msaidieni huyu mama aondoke salama huku kwenye siasa. Ni msomi mzuri tu hatakosa kazi za kufanya. Kwanza hakuwa mwanasiasa wa aina ya wale walioko CCM.
 
Masikini Batilda!

Ningemshauri EL amwajiri kama mkurugenzi wa kale karedio kule Njiro!
 
ha haaaaaaaaaa, patamu kweli............. mi nasubiri Thijue JeiKei atasaini kirahisi, au naye itabidi ashikiwe bango!
 
Hali ni mbaya hapa mjini kutamwagika damu leo, nasikia wanataka kumtangaza Batilda mshindi !!!!!!!!!!!
Jamani mnaona haya mambo?
Sasa damu ndio itamwagika sasa
Youcan take my word to bank!
 
kwawanaomfahamu glema walijuaatapita bila upinzani. ni mbunge toka 2005 lakini alikubari mwenyewe matokeo baada ya kupozwana wazeewafeva. lakini maadam kaingia chama makini ameulasasa. bravo
icon7.png
 
Sasa asiposign.....aaaah hao wanataka kuchakachua tu sasa wanabuy time...kiukweli tuendelee kuwatyt tu mpaka mwisho watasign!
Wananchi wa Arusha hapana kutoka mpaka asign huyooo!
 
Atake ameshindwa asitake ameshindwa tu, hiyo hali ni kama ukimwi haina dawa
 
Confirmed: Arusha Mjini vurugu za "kumwaga damu" ni imminent
 
Hali ni mbaya hapa mjini kutamwagika damu leo, nasikia wanataka kumtangaza Batilda mshindi !!!!!!!!!!!


Patachimbika, mwambie asign asituletee. Si walisema watakubali matokeo? imekuwaje wanashindwa, Watakiona cha mkati fire wood na bado!!!!! more suprises to come!!!
 
Hallow inaonyesha huyu mama alionga sana ndo maana aamini kama kapigwa chini asaini bwana asitake watu waanza vita. Hatutaki kumwaga damu

aache hayo mambo akubali kushindwa kwani walizaliwa na madaraka....afu nasikia kilango wetu chini daaaa hii imeniuma she was among the best kwa chama cha looser
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom