Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

Pannel ya watt 90w kwa battery ya N100 ? Panashida hapo aliyekushauri hajakushauri vizuri hapo uwiano siyo mzuri ungechukuwa battery N 70 ungepata uwiano mzuri.

Battery za maji ni nzuri lakini zinahitaji utunzaji mzuri ndiyo maana tunashauri kununua battery dry hazina service.
Ulifanya makosa kuongeza maji makali ulitakiwa kuweka maji mapole dustill water kunauwezekano imesha kufa badilisha nyingine nunua N70 brand nzuri ni Riter au ASP ila bei imesimama ukishindwa hata sunstart

Huwezi kununua bettery ya gari kwani mfumo wake haukutengenezwa kwa matumizi ya solar betry ya solar inachajowa na pannel cells wakati ya gari inapata charge kutumia altonetor.
 
Asante kwa ushauri nitafanyia kazi pia ni Faida kwangu maana now an switch kwenye N70 ambayo bei ni chin ukilinganisha na N100
 
Jamani mimi naomba kuuliza. nina tv flat ambayo siyo ya solar ina watts 115 na receiver ya watts 15 je nikitaka kutumia solar nitatakiwa kununua panel za watts ngapi na battery ya n ngapi? nataka walau kwa siku niwashe tv japo kwa masaa 3. taa moja ya ndani na ndogo mbili za watts kama mbili zitakazo waka usiku kucha. inaweza gharimu bei gani??
 
+255 716 168 992 check na huyo bwana pia wanakopesha.
 
tumia sundar solar power
 
Fanya hivi mkuu chukuwa 115+20=120w
Then let say taa zote ni 15w
Jumla ni 135w
Hivyo basi ni betri size gani utahitaji?
Kama mfumo wako ni wa volt 12, chukuwa 135w÷12v=11.25ah
So wewe unataka angalau masaa 3 hivyo 11.25ah*3h =33.75ah
So utahitaji betri ya 40ah na pannel ya 50w

Mimi si mwalimu ila nauza solar syatem
 
Fanya hivi mkuu chukuwa 115+20=120w<br />Then let say taa zote ni 15w<br />Jumla ni 135w<br />Hivyo basi ni betri size gani utahitaji?<br />Kama mfumo wako ni wa volt 12, chukuwa 135w÷12v=11.25ah <br />So wewe unataka angalau masaa 3 hivyo 11.25ah*3h =33.75ah<br />So utahitaji betri ya 40ah na pannel ya 50w<br /><br />Mimi si mwalimu ila nauza solar syatem
Asante kwa ushauri nitafanyia kazi pia ni Faida kwangu maana now an switch kwenye N70 ambayo bei ni chin ukilinganisha na N100
 
Yani unangalia tv masaa mawili!!
 
Wanauzaje battery za ritar ?
Jaribu kupunguza angalau nusu ya maji yaliyo kwenye betry halafu nunua angalau chupa 3 za maji Makali halafu yatiye..baada ya hapo ichaji itadum kwa muda kias Kama miez 4 zaid au pungufu..mm nilijarb ikafanya kazi.. Usiogope kujaribu ndo kuweza.
 
Asante mkuu, kwa hivo ulivovitaja hapo vikiwa complete yaani sysytem nzima bei gani
 
Mkuu sahihisha hapo ukubwa wa betri kama ni N1000 basi kuna shida kubwa hapo. Ila kwa panel 120 watts unaweza funga battery 150 Ah 2 Pcs za dry na ukaendelea kupeta.
Battery N100
 
Solar yako ingekua kubwa ningekushauli ununue battery gani ambayo hata kwangu natumia nyumba nzima tena sio natumia umeme wa DC Bali AC tena masaa kumi na nane
Shauri nasi tufaidike
 
Jaribu kupunguza angalau nusu ya maji yaliyo kwenye betry halafu nunua angalau chupa 3 za maji Makali halafu yatiye..baada ya hapo ichaji itadum kwa muda kias Kama miez 4 zaid au pungufu..mm nilijarb ikafanya kazi.. Usiogope kujaribu ndo kuweza.
Asante Sana mkuu nitajaribu
 
Kwa anaye fanya biashara ya kuchaji simu inapigwa hesabu gani? Kwa kutumia inveta
 
mkuu unauza bei gani betri n50 pannel watts60 inveter na chaja contoler
 
Sikubaliani na calculations zako, kwanza inashauriwa usiinyonye battery chini ya 50% sasa kwenye mahesabu yako atakuwa ametumia asilimia ngapi?

Fanya hivi 135*3=405 Ahr, haya ndiyo matumizi yake kwa saa 3.

Kwa kuwa utatumia 50% ya battery, 405*2=810 Ahr, mfumo wako ni 12 volts, chukua 810 ahr /12=
Sikubaliani na calculations zako, kwanza inashauriwa usiinyonye battery chini ya 50% sasa kwenye mahesabu yako atakuwa ametumia asilimia ngapi?

Fanya hivi 135*3=405 Ahr, haya ndiyo matumizi yake kwa saa 3.

Kwa kuwa utatumia 50% ya battery, 405*2=810 Ahr, mfumo wako ni 12 volts, chukua 810 ahr /12=67.5.

Kwa matumizi ya huyu jamaa anashauriwa atumie battery ya 70ahr kwa kudrain 50%, na hapo battery itadumu.

Kuhusu solar panel inategemea eneo alipo anapata jua linalogonga kwenye panel kwa masaa mangapi. Panel kuizidi battery tu haitoshi unatakiwa ujue ni asilimia ngapi iizidi.

Kama anapata jua kwa masaa 6 atahitaji ya kuanzia 70 watts kwenda juu, kumbuka kadiri solar panel inavyokuwa na watts nyingi ndivyo battery yako inajaa haraka.
 
kama walivyokushauri kachaji betri katika battery charger.kwa ushauri wangu pia uangalie inatumia masaa mangapi.Pia kawaida solar panel inakawaida ya kurudisha/ kunyonya nguvu ya betri inapokosa jua.,Sasa nakushauri ufunge diode katika waya (live)unaotoka ktk panel kwenda ktk betri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…