Battle analysis: Wapiganaji wa Ukraine ni mfano halisi wa uzalendo uliotukuka

Battle analysis: Wapiganaji wa Ukraine ni mfano halisi wa uzalendo uliotukuka

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
796
Reaction score
2,026
Kila taifa lina tunu zake ambazo kimsingi ndio kimsingi ndio nguzo na uhai wa taifa husika. Logically speaking, najivunia kuwa mtanzania kwani tumebarikiwa kuwa na tunu ya amani na upendo miongoni mwetu.

Kutokana na uwepo wa propaganda nyingi watu wengi wamekuwa blinded na aggressive traits za warusi kiasi cha kuvamia na kuharibu maisha ya jirani zake ukraine wakulima wangano na alzeti.

Nataka niweke wazi kuwa vita ni kitu cha kutisha sana kama hujawahi hata kupambana na nyoka au peka vita ni issue nyingine.

Najaribu kudadisi wanaume wa Ukraine wamewezaje kumudu mapigo kutoka kwa jeshi kubwa na bora zaidi duniani kuwahi kutokea.

Inawezekana wanaume wa ukraine wakawa ni miongoni mwa watu majasiri zaidi duniani.

Vita ina matukio ya kutisha, kama vifo, kutekwa, na kupewa amri za hovyohovyo zinazoweza kuchukua maisha ya askari wengi.
 
Kila taifa lina tunu zake ambazo kimsingi ndio kimsingi ndio nguzo na uhai wa taifa husika. Logically .
Hii operation ya kijeshi sio vita tambua hilo kwanza,pili Urusi anatoa dozi kulingana na Afya ya mgonjwa.

Hiyo operation anaiendesha kihuni mpaka NATO wamempigia saluti.

Ametelekeza vifaru mashambani mpaka wakulima wanaviokota.

Anateka Jimbo wiki analikimbia adui yake anaingia anakutana na kibano.
 
Hii operation ya kijeshi sio vita tambua hilo kwanza,pili Urusi anatoa dozi kulingana na Afya ya mgonjwa.Hiyo operation anaiendesha kihuni mpaka NATO wamempigia saluti.Ametelekeza vifaru mashambani mpaka wakulima wanaviokota,Anateka Jimbo wiki analikimbia adui yake anaingia anakutana na kibano.
Unaweza kunisaidia tofauti ya operation ya kijeshi na vita
 
Yaani naangaliaga badhi ya video zao jamaa hawana hata hofu. kama vile kifo kwao si ishu.
Wananchi wengine hata kuondoka nchini mwao wamegoma wengine wanarudi.
Ila kiukweli wao wenyewe wanamkubali sana Rais wao inaonekana.
 
Taliban walikuwa wanamuhifadhi Osama bin Laden na Al-Qaeda yake ambao walijatamba kufanya shambulizi la September 11 2001 huko Marekani na mashambulizi mengine mengi ya kigaidi duniani. Unataka hao waitwe mashujaa sawa na Wa-Ukraine ambao hawajamchokoza yeyote bali ameibuka mwendawazimu mmoja huko na kuanza kwalipua?
Be serious.
Taribani walio pigana miaka zaidi ya 20 na wavamizi wa kiMarekani mwishowe wakashinda mbona hamuwaiti mashujaa na wazarendo badala yake mnawaita magaidi?
 
Taliban walikuwa wanamuhifadhi Osama bin Laden na Al-Qaeda yake ambao walijatamba kufanya shambulizi la September 11 2001 huko Marekani na mashambulizi mengine mengi ya kigaidi duniani. Unataka hao waitwe mashujaa sawa na Wa-Ukraine ambao hawajamchokoza yeyote bali ameibuka mwendawazimu mmoja huko na kuanza kwalipua?
Be serious.
Ww jamaa nimesha kwambia jaribu kushughulisha Akili yako Marekani aliivamia Afghanistan kwa masilahi yake na Urusi kaivamia Ukraine kwa masilahi yake kwa hiyo wote hawana tofauti.

Kwani Osama mbona kaishi ndani ya Pakistan kwa zaidi ya miaka 8 na Marekani hakuthubutu kuishambulia kijeshi Pakistan?
 
Taribani walio pigana miaka zaidi ya 20 na wavamizi wa kiMarekani mwishowe wakashinda mbona hamuwaiti mashujaa na wazarendo badala yake mnawaita magaidi?
Tatizo la Taliban walikuwa ni extremists, ndio maana walikukosa uungwaji mkono mkubwa though waliwapa challenge wamerekani na washirika wao. Logically, waafighanistan sio pushover kama tulivyo sisi maana mjahidini alichomfanyia urusi hatakuja asahau. My opinion regarding this matter, Taliban wako after dini sana na ukraine wako after nchi yao ndio maana askari wengi wakujitolea wako front kulinda status ya nchi yao
 
Hata Iddi Amin aliivamia Tanzania kwa maslahi yake.

Wamarekani hadi wanaenda kwenye operation ya Osama huko Pakistan walikuwa wana bet tu kwa odds za juu, hawakuwa na uhakika 100% yupo. Jifunze kufuatilia mambo vizuri
Ww jamaa nimesha kwambia jaribu kushughulisha Akili yako Marekani aliivamia Afghanistan kwa masilahi yake na Urusi kaivamia Ukraine kwa masilahi yake kwa hiyo wote hawana tofauti.

Kwani Osama mbona kaishi ndani ya Pakistan kwa zaidi ya miaka 8 na Marekani hakuthubutu kuishambulia kijeshi Pakistan?
 
Kama hujui tofauti ya hii sentence mbili basi we ni kilaza snaa kilochokuwa kinafanyika na JWTZ pale Kongo Kwa M23 Ile ni operation kinachofanywa saivi na Kongo thidi ya M23 Ile ni operation
Ukitukana haimaanishi unaelewa sana ila ni kukosa maadili na malezi mabaya ya wazazi wako. Kukusaidia rafiki yangu, operation ni lengo mama ambalo wanapatiwa askari wanaoenda mstari wa mbele kwenda kulitimiza ila kinachotokea kwenye front line ndio vita ( battle ). Jwtz wamefanya operation nyingi ikiwemo operation chakaza ( vita ya kagera ) operation kumekucha ( vita ya msumbiji kumuondoa mreno, operation democratic ( kumuondoa kanali bakari. Russia walienda ukraine kulinda amani kwenye separatist regions na kuvunja nguvu ya kijeshi ambayo waliona sio salama kwao ila kinachotokea mstari wa mbele ni vita kama ( the battle of kivy ). Operation inaweza kukamilika haraka au lah! kutokana na weledi wa vikosi vilivyotumwa kutekeleza majukumu.
 
watu wanajifanya mpaka wanawake alafu wewe unaongea mengine hapa kiufupi jamaa vita wameichoka ndo maana wanajisalimisha kwa makundi kama nyanya
img_5_1653813238133.jpg
img_4_1653813218267.jpg
 
watu wanajifanya mpaka wanawake alafu wewe unaongea mengine hapa kiufupi jamaa vita wameichoka ndo maana wanajisalimisha kwa makundi kama nyanyaView attachment 2244228View attachment 2244229
Nikweli sio wote wanaweza kuhimili vishindo na mapigo ya adui ndio maana jeshini kuna sheria ngumu za utii wa amri bila kupinga. Japo weye ni shabiki wa Putin wape angalau sifa kidogo hawa wanaume wamepambana kiume kwelikweli.
 
Back
Top Bottom