Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Jeshi la Urusi linaipigania duniaJeshi la Ukraine linapigania nchi yao Jeshi.la Urusi linampigania Putin
Jeshi la Ukraine ni wazalendo la Urusi sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi la Urusi linaipigania duniaJeshi la Ukraine linapigania nchi yao Jeshi.la Urusi linampigania Putin
Jeshi la Ukraine ni wazalendo la Urusi sio
Sniper kaponea michwari watu walisha jua ni mzogaBado hujakoma tu na hizi picha zako zinazoelea hewani bila source? Nilidhani baada ya kutuletea zile picha za Sniper kuuwawa na ukaja kuumbuka ungeacha hii tabia ya uongo.
Anaungwa mkono na nani Russia? Nchi gani duniani imetangaza kuwa wako upande wake?Jeshi la Urusi linaipigania dunia
Unataka tuweke mizoga ya askari wa Russia, wengine wanakuwa abandoned kuframe ukweli unaoendelea front line. Vijana wamepambania nchi yao, kama kufa wamekufa kwa ajiri ya nchi yao.
Hii nayo unapinga ukiwa sawasawa kichwani au ndio tayariAnaungwa mkono na nani Russia? Nchi gani duniani imetangaza kuwa wako upande wake?
Russia bwege tu hana support yoyote ya nchi yeyote duniani hata Tanzania tumeufyata kama nchi hatuonyeshi support kwa mrusi