STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Eti watu wako ktk nchi yao mnawaita extremists, mkiambiwa nyinyi ni vilaza huwaga mnakasirika na kutoa povuTatizo la Taliban walikuwa ni extremists, ndio maana walikukosa uungwaji mkono mkubwa though waliwapa challenge wamerekani na washirika wao. Logically, waafighanistan sio pushover kama tulivyo sisi maana mjahidini alichomfanyia urusi hatakuja asahau. My opinion regarding this matter, Taliban wako after dini sana na ukraine wako after nchi yao ndio maana askari wengi wakujitolea wako front kulinda status ya nchi yao
Acha matusi dogo, haya nimaoni tu sio facts kwa hiyo kama una argue leta hoja sio kuita wenzako vilaza. Watu wanaofika jeshini ngazi za afisa wanajifunza military doctrine ili kuongoza na kutoa amri sahihi. Uongozi wa Taliban ulikuwa na Sheri kali ( sharia laws ) za kislam. Tumeona wanawake wakichapwa viboko na kupigwa mawe mpaka kufa hata utawala wao wa sasa bado una elements zilezile au huelewi extremism.Eti watu wako ktk nchi yao mnawaita extremists, mkiambiwa nyinyi ni vilaza huwaga mnakasirika na kutoa povu
Wewe jamaa unaita wenzako vilaza bila kuonesha mchango wako huo ni ukilaza pia. Ili kuonesha mwenzako kukosea leta hoja zako watu wazisome na kuzichambua sio kulipuka na mihemko umezaliwa wapi wwHawa pro Marekani ni vilaza sana
Ivi mtawapangiaje nchi yao??? Yaani kwamfano sisi Tanzania eti tuwapangie Marekani juu ya sheria ya umilikiji silaha kwa sababu sisi hatuna sheria hioAcha matusi dogo, haya nimaoni tu sio facts kwa hiyo kama una argue leta hoja sio kuita wenzako vilaza. Watu wanaofika jeshini ngazi za afisa wanajifunza military doctrine ili kuongoza na kutoa amri sahihi. Uongozi wa Taliban ulikuwa na Sheri kali ( sharia laws ) za kislam. Tumeona wanawake wakichapwa viboko na kupigwa mawe mpaka kufa hata utawala wao wa sasa bado una elements zilezile au huelewi extremism.
Kila kitu kiko wazi, bora sometimes mnyamaze kimya, uzuri haya mambo Mungu sometimes hulipa hapahapaWewe jamaa unaita wenzako vilaza bila kuonesha mchango wako huo ni ukilaza pia. Ili kuonesha mwenzako kukosea leta hoja zako watu wazisome na kuzichambua sio kulipuka na mihemko umezaliwa wapi ww
Aggression haukubariki upande wowote, sio mabeberu wala wajamaa wa Asia. Ndio maana mjahidini walipambana vigorously na Russia mpaka wakatimua mbio kutoka kwenye ardhi ya watu. Tatizo nikwamba tukiwasifia ukraine wachache mnahisi kwamba tunasupoti mabeberu huko nikukariri. Uonevu sio jambo la kushabikia kwani victim wakubwa ni innocentIvi mtawapangiaje nchi yao??? Yaani kwamfano sisi Tanzania eti tuwapangie Marekani juu ya sheria ya umilikiji silaha kwa sababu sisi hatuna sheria hio
Ile ni nchi yao, we don't have right ya kuwapangia nn cha kufanya, leo mtu yuko katika nchi yake, Ardhi yake anashika silaha kwa kuwa magaidi ya kizungu yameshauwa familia yake yote alaf mtu huyo kujilinda unaenda kumwita extremist ?? Hivi inaingia akilini ?? Acheni ugaidi kwa kuuwa watu nchi za watu alaf yanapofanyika hayo upande wa pili mnawaita mashujaa tena ni miNazi iliotumwa kutoka ktk nchi mbalimbali
Bado hujakoma tu na hizi picha zako zinazoelea hewani bila source? Nilidhani baada ya kutuletea zile picha za Sniper kuuwawa na ukaja kuumbuka ungeacha hii tabia ya uongo.watu wanajifanya mpaka wanawake alafu wewe unaongea mengine hapa kiufupi jamaa vita wameichoka ndo maana wanajisalimisha kwa makundi kama nyanyaView attachment 2244228View attachment 2244229
Leo Putin atakuwa kakutibua maana unatokwa povu non stop?Eti watu wako ktk nchi yao mnawaita extremists, mkiambiwa nyinyi ni vilaza huwaga mnakasirika na kutoa povu
Kwamawazo yako ulitegemea wananchi wote wataikimbia nchi yao!!?Yaani naangaliaga badhi ya video zao jamaa hawana hata hofu. kama vile kifo kwao si ishu.
Wananchi wengine hata kuondoka nchini mwao wamegoma wengine wanarudi.
Ila kiukweli wao wenyewe wanamkubali sana Rais wao inaonekana.
UKRAINE wanawafadhili wanazi wenye misimamo yakufurutu adaTaliban walikuwa wanamuhifadhi Osama bin Laden na Al-Qaeda yake ambao walijatamba kufanya shambulizi la September 11 2001 huko Marekani na mashambulizi mengine mengi ya kigaidi duniani. Unataka hao waitwe mashujaa sawa na Wa-Ukraine ambao hawajamchokoza yeyote bali ameibuka mwendawazimu mmoja huko na kuanza kwalipua?
Be serious.
Utawala wa US unaoruhusu ndoa zajinsia moja unasheria nyepesi!!!?Acha matusi dogo, haya nimaoni tu sio facts kwa hiyo kama una argue leta hoja sio kuita wenzako vilaza. Watu wanaofika jeshini ngazi za afisa wanajifunza military doctrine ili kuongoza na kutoa amri sahihi. Uongozi wa Taliban ulikuwa na Sheri kali ( sharia laws ) za kislam. Tumeona wanawake wakichapwa viboko na kupigwa mawe mpaka kufa hata utawala wao wa sasa bado una elements zilezile au huelewi extremism.
nilijua tu lazima unijie juuBado hujakoma tu na hizi picha zako zinazoelea hewani bila source? Nilidhani baada ya kutuletea zile picha za Sniper kuuwawa na ukaja kuumbuka ungeacha hii tabia ya uongo.
Akikueleza tofauti yake nitag Mkuu.Unaweza kunisaidia tofauti ya operation ya kijeshi na vita
Si kukimbia mkuu ila nazungumzia umoja walionao.Kwamawazo yako ulitegemea wananchi wote wataikimbia nchi yao!!?
Hebu tutajie taifa moja tu ambalo wananchi hawakua wazalendo kiasi cha wote wakakimbia nchi yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila taifa lina tunu zake ambazo kimsingi ndio kimsingi ndio nguzo na uhai wa taifa husika. Logically speaking, najivunia kuwa mtanzania kwani tumebarikiwa kuwa na tunu ya amani na upendo miongoni mwetu.
Kutokana na uwepo wa propaganda nyingi watu wengi wamekuwa blinded na aggressive traits za warusi kiasi cha kuvamia na kuharibu maisha ya jirani zake ukraine wakulima wangano na alzeti.
Nataka niweke wazi kuwa vita ni kitu cha kutisha sana kama hujawahi hata kupambana na nyoka au peka vita ni issue nyingine.
Najaribu kudadisi wanaume wa Ukraine wamewezaje kumudu mapigo kutoka kwa jeshi kubwa na bora zaidi duniani kuwahi kutokea.
Inawezekana wanaume wa ukraine wakawa ni miongoni mwa watu majasiri zaidi duniani.
Vita ina matukio ya kutisha, kama vifo, kutekwa, na kupewa amri za hovyohovyo zinazoweza kuchukua maisha ya askari wengi.
Unataka tuweke mizoga ya askari wa Russia, wengine wanakuwa abandoned kuframe ukweli unaoendelea front line. Vijana wamepambania nchi yao, kama kufa wamekufa kwa ajiri ya nchi yao.Pole sana, hakuna cha kuiga mfano hapo. Ungejua wanakufa usinge ongea haya. Mamluki na wanajeshi wa Ukraine wanauliwa sana.
Ile ya Ukraine na Urusi kwa sasa ni vita kamili, yawezekana mwanzoni lengo halikuwa hilo. Zile za Kongo, sudani na kwingineko ni operesheni tu za kulinda amani na kuhakikishha huduma za msingi kama chakula na afya zinawafikia walengwaUkitukana haimaanishi unaelewa sana ila ni kukosa maadili na malezi mabaya ya wazazi wako. Kukusaidia rafiki yangu, operation ni lengo mama ambalo wanapatiwa askari wanaoenda mstari wa mbele kwenda kulitimiza ila kinachotokea kwenye front line ndio vita ( battle ). Jwtz wamefanya operation nyingi ikiwemo operation chakaza ( vita ya kagera ) operation kumekucha ( vita ya msumbiji kumuondoa mreno, operation democratic ( kumuondoa kanali bakari. Russia walienda ukraine kulinda amani kwenye separatist regions na kuvunja nguvu ya kijeshi ambayo waliona sio salama kwao ila kinachotokea mstari wa mbele ni vita kama ( the battle of kivy ). Operation inaweza kukamilika haraka au lah! kutokana na weledi wa vikosi vilivyotumwa kutekeleza majukumu.