Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Amesema tuache hotel. Sijui kwa nini yeye anataka Transportation tu. Nadhani hotel zimeisha huko Nairobi.
Sisi hapa dar zipo nyingi mno.
hotel mingi mno kaka nataka tusave wakati .....
 
rail transport
343c8cd7f13f85f1acfe87809cf31a41.png
131231142935-transformation-kenyan-railway-00021411-story-top.jpg
images
81343119fe15150038a422b2225104fa.png
train.jpg
rail_2397426b.jpg
Train-to-Mombasa.jpg
nairobi-kisumu-passenger-train.jpg
RVR.jpg
RVR-completes-73-km-Mombasa-Nairobi-railway-line-replacement-project-HiPipo_news-5star.jpg
 
Hotel mlizopost ni nzur sana kweli 5* ni hatari
 
hotel mingi mno kaka nataka tusave wakati .....
Hakuna kitu kama hicho unaruka ruka tu. Twende kwenye hotel mpaka tuone nani mshidi. Maana hapa tutakuwa tunafanya mambo ya ajabu ajabu.
Niambie
1. 5 Stars zipo ngapi
2. 4 Stars zipo ngapi
3. 3 Stars zipo ngapi

Siyo kuruka ruka tu.
Hapa tunataka tumalize ubishi, Mda bado upo usiruke.
 
Hawana bahari mkuu au umesahau
Basi anatakiwa akubali siyo kukimbia kimbia. Kwenye hotels hatujamaliza anakimbia. Tumalizane kwanza na Hotels
 
Basi anatakiwa akubali siyo kukimbia kimbia. Kwenye hotels hatujamaliza anakimbia. Tumalizane kwanza na Hotels
annael Fanya vile unavotaka wewe usifanye vile anavotaka yeye...asikupelekeshe ili mwishoni ajione mshindi.tupia aina picha unazo jisikia kuzitupia.picha zinajibiwa kwa picha.kama hana anyanyue mikono juu

ususahau kuweka picha za kumbi za burudani hapa dar...tuna sehemu nyingi sana za kula bata..
 
Bora tu mshindane kwa mazuri
maana kwa picha za kule kariobangi wakenya tungewakalisha tu.
 
Back
Top Bottom