Bado yapo Maslum mengineTanzania hakuna binaadamu anaishi nyumba ya bati inamaana hata kujenga kwa tope imeshindikana haahaha alaf Nairobi is 3.5 it means 2.5m wako kibera ahahahhahaha aise duhhhh wageni wamejaa kushika uchumi wote wakenya wazawa wakenya ndio wako kibera hhahhahaha
Hahaha kelele nyingi kumbe hawana kitu hahahhaaBado yapo Maslum mengine
ikiwepo Kakuma, mathare, Matopeni Nk nk
full slum
hawa niwakuhurumia tu
Hahahahahahaha! Hiv motochini uwaga unatumia killing machine ya aina gan..!? AK 47, SMG, LMG, G3, M15 au RPG....!? Mbona huwa haukosei target..!? Kila ukipiga mikenya himo, kila ukipiga himo..!! Ebana we've 2giv ya a field marshal belt aisee! Hauna masihara wewe!!Nairobi Kenya
Unguja imehamia Dar. Haya bhanaFumba hotel in hotel 5 star inayojengwa na azam bakhresa unguja tanzania ni hotel inayojengwa juu ya bahari maana yake wanafukia bahari na cost yake ni 300 million dollar na iko under constructionView attachment 479357
Motochini inabidi tuwatafutie picha za manzese na tandale ya leo 2017 ili wajua we got a bullet speed in development 1000X than em mofo'...!! Kenyan wanatia huruma jamani..!! # A Real nairobian is from kibera [HASHTAG]#kenyan[/HASHTAG]!![emoji818]Nairobi Kenya
Usiniulize hapa kijijini au la!
Hapa ni Jijini Nairobi
hizi ndizo Nyumba za wakenya halisi
Wapatao milioni mbili na nusu
2.5ml[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Walituambia tuchanganye.......sasa nachofanya kuwaonesha vitu tanzania viko kwao ni ndoto itabaki kama wanavyo vitu tanzania hakuna apanue mtu mdomo hapaUnguja imehamia Dar. Haya bhana
Kama mambo ya kupost umeishiwa si uache tu, sasa hii mambo ya tuta.....ita... ujinga gani huu! Weka picha achana na renders.Fumba hotel in hotel 5 star inayojengwa na azam bakhresa unguja tanzania ni hotel inayojengwa juu ya bahari maana yake wanafukia bahari na cost yake ni 300 million dollar na iko under constructionView attachment 479357
AwkeyWalituambia tuchanganye.......sasa nachofanya kuwaonesha vitu tanzania viko kwao ni ndoto itabaki kama wanavyo vitu tanzania hakuna apanue mtu mdomo hapa