Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2.5million kibera, 0.5million mathare, 30k matopeni, makuru kabaya 0.7 million people sijamaliza slums bado twende taratibu tutaelewana tu kwenye majengo tulishamalizana muda tu na wenzako walikimbia sasa mumetaka estate mumekimbia sasa tujue maana ya slum na unplanned
 
Kibera's population is only 250,000 pipo.
The missing millions of Kibera
Africa's Propaganda Trail, part I of V

Africa's propaganda trail, part I: The missing millions of Kibera | Martin Robbins
 
Wenzako wote wamekimbia umebaki we hahhahha wanakucheka tu naongea habari ya BRT we unasema Barbara kubwa hahahha
 
umewah kwenda nairobi...?...na ilishawah jichanganya mjin maeneo tofauti tofauti maalum kwa kijifunza tofaut kat ya dar na nairibi?''''''au umeshazoea kuona hawa majamaa wakijipromo kiasi cha wew kuhofia?'''yote maswal yako ukishajibu weka fact apa picha kwa picha kilichopo nairobi kisichopo dar na kilichopo dar kisichopo nairobi...yawezekana hauijui dar vizur na nairob pia bali nairobi waisikia tu.....

bila kusahau tupe miradi inayofanyika na iliyokamilika hapa dar hapo angalau kipimo chako cha kuiona nairobi imetuzidi ndyo kitaonekana pia yawezekana hata miradi ya nchi yako hauijui....na haujui takwimu zozote za maendeleo ya jiji la dar
 
Nimeishi Nairobi kwa miaka 6... kunzia mwaka 2004 hadi 2010... tunawazidi Kiswahili kuongea Kiswahili na Hakuna kingine
 
kwa uchumi sawa mpo mbele yetu na sikingine zagazaga nyingine mpo kawaida....
 
Wenzako wote wamekimbia umebaki we hahhahha wanakucheka tu naongea habari ya BRT we unasema Barbara kubwa hahahha

Usishobokee, na usimtaje Mkenya tukisikia, Unang'ang'ania nini??? Utalipwa???? Uzi ni Dar Vs Nairobi si uweke za Dar, unakimbilia Nairobi we mwehu nini??

Cha msingi ni hakuna chochote unaweza jivunia kule Dar ndio maana unakimbilia Kibera, akili yako ndogo inakwambia hilo ni geni, kabla ujue jamii Forum, Kibera ilikuwa imeandikiwa vitabu, ikatengezewa video, ikatungiwa nyimbo!!

Itachukua mwehu kama wewe kufikiria Kibera ni jambo geni, hata Trump ukimuuliza atakwambia anaijua!!

Ungetumia akili uweke picha za Kwenu Dar, zikiisha sema nimeishiwa na uwache ushoga.

Kwa Kibera hauna lolote geni. Lakini kwetu Kibera kuna mapya, Kibera is changing and soon it will be bigger than your Dar es Slum


 
Nairobi is always the place to be, the most intelligent city in Africa, Digital City of Africa.

Westlands Nairobi is also ready to take on the city Center
 
Nairobi is always the place to be, the most intelligent city in Africa, Digital City of Africa.

Westlands Nairobi is also ready to take on the city Center
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…