Kwikwikwi leta hapa hiyo reference. Usitake sifa za ajabu ajabu nduguHapo nyuma kidogo, Safaricom are lounging 5G
By the Way Ichoboy01, nyinyi mnafanyia Nairobi mchezo, ila, on a serious note, mfanye bidii huko kwenu, maana ushindani hapa tutashindana, bali ukweli utabaki, juzi ndio mnatengeneza fly over ya kwanza, Nairobi tayari imepita ina deal na elevated roads, kabla mfike hapo aisee, mtasoma namba, kama hii ikiishahahahaha simba hachezewi sharubu hehehehe
hahahah enhh huyu jamaa vp kashageuka tena hehhehehe bila barabara tena atapost nini hahahahahahhaBy the Way Ichoboy01, nyinyi mnafanyia Nairobi mchezo, ila, on a serious note, mfanye bidii huko kwenu, maana ushindani hapa tutashindana, bali ukweli utabaki, juzi ndio mnatengeneza fly over ya kwanza, Nairobi tayari imepita ina deal na elevated roads, kabla mfike hapo aisee, mtasoma namba, kama hii ikiisha
na huyu kabadilisha topic hahhahahaha duh aiseeeeChallenge gani kukula Albino. I am humanI am not a devourer.
Kwikwikwi leta hapa hiyo reference. Usitake sifa za ajabu ajabu ndugu
Soma hapa kuhusu 4.5G ya mwaka jana
4.5G Network ~ BEST SOFTWARE
wamediscuss sisi tushamaliza 4.5G last year hebu imagine kwa akili yako finyuNi sawa kwa hapo, ila ni kweli Kenya inaanda 5G
Huawei and Safaricom discussing 5G roll-out - TechMoran
Sasa hayo ni majadiliano hapa Tanzania tayari tupo na 4.5G na inafanya kazi. Sasa wewe unasemaje kitu ambacho hakipo!?Ni sawa kwa hapo, ila ni kweli Kenya inaanda 5G
Huawei and Safaricom discussing 5G roll-out - TechMoran
sera hawana hawa kunguni tu wamebakia kubadilisha topics ,mfamaji haishi kutapatapaSasa hayo ni majadiliano hapa Tanzania tayari tupo na 4.5G na inafanya kazi. Sasa wewe unasemaje kitu ambacho hakipo!?
hahahah enhh huyu jamaa vp kashageuka tena hehhehehe bila barabara tena atapost nini hahahahahahha
Sasa hayo ni majadiliano hapa Tanzania tayari tupo na 4.5G na inafanya kazi. Sasa wewe unasemaje kitu ambacho hakipo!?
ona sasa kazidiwa huku kahama huku heheheh tunasubiri vita ya uchaguzi mupigane kwanza alaf sisi tuendelee kujenga nchi na safari hii wajaluo wameungana hehehe mutatandikana vzrDaaah! Balaa, sijui wewe unadhani mji huundwa kwa nini???
Whatever, .... right now in Nairobi
hahahaha haya msikie hehehe jamaa huyu akili yake sio timamuSisi tupo 4G+ plus Tayari just a step to 5G
wamediscuss sisi tushamaliza 4.5G last year hebu imagine kwa akili yako finyu
hahahaha haya msikie hehehe jamaa huyu akili yake sio timamu
Lini mmetumia 4.5G? Acha uongo wewe nipe hiyo reference ya kwamba kenya wametumia 4.5GSasa 4G+ ndio tumeishi hapo sasa twatoka, wewe unaona ni jambo geni, hivi ndio maana huwa nasema TZ mko uzingizini, mkiota tu hivi mnakurupuka
hahahaha haya msikie hehehe jamaa huyu akili yake sio timamu