Mkuu mungiki kwa issue za kuhamisha vitu visivyo vya kwao ni hatariWazee wakuhamisha visivo hamishika
View attachment 482682
Wenzie kutafuta sifa kulisha wamaliza
wao wanaangalia sifa kuliko ukweli
mmoja yupo radhi apost nyumba yako mwenyewe akikuambia kwake kumetulia!!
Mwaka jana kuna mkenya alipost Insta daraja la Nyerere akisema lipo Kenya
Cha ajabu anafuatwa na watanzania wengi kwenye Ac yake!!
Sijui huwa ni ugonjwa au laana tu!!
We ushindane na middle east kuhusu internet hvi hata aibu we huoni hehhehhhehe
Hehhhe mkenya asipost barabara hahha anakua sio mkenya halisi
Basi ni shida hiyo.Wenzie kutafuta sifa kulisha wamaliza
wao wanaangalia sifa kuliko ukweli
mmoja yupo radhi apost nyumba yako mwenyewe akikuambia kwake kumetulia!!
Mwaka jana kuna mkenya alipost Insta daraja la Nyerere akisema lipo Kenya
Cha ajabu anafuatwa na watanzania wengi kwenye Ac yake!!
Sijui huwa ni ugonjwa au laana tu!!
Nairobi ni mji mdogo sana na umejengeka sehem mojaUtazirudia mpaka uchoke
Nairobi Imebuma
hahaha
Hizo washapost sana tunataka new buildings tuzione tushachoka hata kuziona kila mkenya anapost hizo hizo hehhheheNAIROBI